Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.
Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.
Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.
Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!
Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.
Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.
Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!