Nilifunga ukurasa wa kutapeliwa lakini nimetumbukia tena

Nilifunga ukurasa wa kutapeliwa lakini nimetumbukia tena

Pole, nadhani ni kuongeza umakini, wasiwasi, kutopenda sana bei nafuu...anyway siku ya kutapeliwa huja jama usingizi.. ile unazinduka kwishney...kutapeliwa yani huwa ni tukio la kizembe baada ya kutapeliwa
 
Utapeli wowote huanza na tamaa ya kutaka mambo kwa kitonga.
 
unachotakiwa ni kuepuka na kuacha kabisa tamaa,

bure ni ghali gentleman,
Zidisha juhudi katika kufanya kazi kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenywe 🐒
Dogo wa 2000 huyo atawajulia wapi wa kina Banza Stone?Muache aendelee na kina miso misondo wanapenda sana vitonga
 
Dogo wa 2000 huyo atawajulia wapi wa kina Banza Stone?Muache aendelee na kina miso misondo wanapenda sana vitonga
lakini amekua muungwana sana kuwasanua wenzake na jamii kwa ujumla kwamba upo upigwaji wa wazi wazi town kupitia mitandao.

nadhani ametekeleza wajibu wake vyema sana. Ni wajibu wa alisoma kuchukua hatua, vinginevyo atamkumbuka huyo muungwana 🐒
 
Ipo ya Airtel sme afu kumi gb 7 afu 15 gb 15 afu 20 gb20 aliye niungaga alifanya kazi kwanza baada ya kujiridhisha kweli inafanya kazi ndio nikamlipa sio kwamba yeye ananiunga kifurushi noo ananiunga kwenye hiyo huduma ya kupata vifurushi kwa bei chini
 
Hivyo vifurushi havipo, ningekuwa mimi nachat na tapeli huyo, ningemtumia tu vocha ya buku halafu nimeipata TCRA kwenye namba 15040
 
Back
Top Bottom