Nilifunga ukurasa wa kutapeliwa lakini nimetumbukia tena

Nilifunga ukurasa wa kutapeliwa lakini nimetumbukia tena

Kutokujua bei elekezi ya bidhaa unayotaka kutapeliwa kunakucost. Mfano bei elekezi ya mchele ni sh. 1,800 kwa kilo. Wewe kwasababu hujui bei, ukiona tangazo mtandaoni la bei chee la kitapeli unaingia kichwakichwa.

Next time kama unanunua kitu online, nunua kwa muuzaji aliye mkoani kwako. Muambie muonane uso kwa uso akupe huduma, umpe chake kila mtu apite hivi
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.

Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.

Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!
Funga kwanza ukurasa wa tamaa na kupenda mteremko.
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.

Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.

Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!
Muosha huoshwa😆
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.

Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.

Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!
Hahahah pole sana mi waliniosha buku 5 nilikuwa nataka nijaribu GB9 kwanza. Baada ya kutuma hela akaanza kuniongezea vipengele eti inatakiwa ifike 13,000 maana kuna service charge kwahio niongeze buku 8 ila kwa kuwa mi mtoto wa mjini nikawa nishaelewa tu nimeingizwa kwenye mfumo🤣 biashara ikaishia hapo.
 
Sijawahi tapeliwa mtandaoni hata kidogo,...kuna ujinga mkubwa kwenye hilo,.....
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.

Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.

Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!
Nakushauri
Kama hupigi nyeto, usijiapize kuwa hautokuja kuipiga maishani.

Ishi kwa malengo bila kujimwambafy utaona dunia inakusujudia
 
Kuna characters ambazo ni very common kwa matapeli hasa wa kibongo.
1.Camouflaging
2.Coercion

Tukianza na hii ya Camouflaging:
Hapo tapeli huanza na kutaka kujivika wasifu wa uaminifu ili tu uone kwamba waliowahi kufanya naye biashara hawakujutia. Ni common kusikia kauli kama "tunatuma kwa uaminifu mkubwa",,, Wengine huenda mbali na kutafta watu wa kutoa ushuhuda kabisa kwamba wamefurahisa sana huduma. Jamaa ni mkombozi wao. Hii ni kama icing sugar kwenye cake ambapo mlengwa unajengewa mazingira ya ku trust the process.

Next step huwa ni Coercion
Katika hatua hii kama ukiwa smart ni rahisi kumstukia tapeli maana ukionesha hutoi ushirikiano atazidi kuwa bitter kwako. Wengi hutumia lugha ya ukali na vitisho kwamba ukikataa kukubaliana na offer anayokupa humkomoi yeye bali wewe ndiye unafeli, anakuweka kwenye tension kubwa sana. Hapa unashurutishwa ili utoe pesa haraka ili kusudi jambo likamilishwe or else unaonekana hauko serious. Unaweza kuambiwa hata ukope mahali ili jambo likamilike kwa haraka. Hapa huwa Tapeli hatakagi kupoteza muda, ata strike faster na kuchukua hela yako na by the moment unarudi kwenye utulivu na kuanza kutafakari vizuri unajikuta ulishafanya wrong decision na uko kwenye majuto.

Hizo stage mbili matapeli wote lazima wakupitishe humo. Antidote ya matapeli ni kuwapa condition ngumu tu. Either akamilishe part yake ndio umlipe au kama hawezi aache. Hakuna malipo bila kazi.
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama za pesa kununua bando la internet.

Kumbe sikujua nipo kwenye mdomo wa mamba hatimae Nilijipeleka mzima mzima nikapigwa, siumii Kwa kiasi cha pesa nilichotapeliwa lakini naumia Kwa nini sikusikiliza sauti iliyokua inaniambia chunguza Kwa makini usije ukatapeliwa kama ulivyotapeliwa milioni 1.4 mwaka 2014.

Baada ya kutapeliwa mwaka tajwa hapo juu, nilijiapiza siji tapeliwa tena abadani, nilifanikiwa sikuwahi tapeliwa zaidi sana nimekua nikiwatonya watu kibao waliokua wemeshaa wekwa kwenye target ya kutapeliwa.
Ila sasa yamenikuta, kuwa makini aisee vihuni bado vipo sana.!!
CCM inatutapeli hadi sasa
 
Haiji tokea tena abadani, hiyo ndo mwisho sahizi zamu yako.
Sifa kuu za mtu anayetapeliwa ni kuwa na tamaa na kutotumia common sense & logic.

Mtu mwenye ufala, ambaye bidhaa kwa bei halali inajulikana inauzwa 500,000 ila yeye anaona tangazo kwamba inauzwa 200,000 na akatamani aokoe 300,000 kwa kununua bei nafuu huku akijisifu kwamba anajua machimbo wale wengine wote wanauza bei ghali.
Huyo ndio fala anayekuja kutapeliwa maana yupo group lilelile la kutumaa hela kununua TV na simu kutoka Chakechake na Wete, Samsung smart TV 55" ya laki tatu.

Wewe kwa vile bado una tamaa nakuhakikisha utanyooshwa sana tu.
 
Hahahah pole sana mi waliniosha buku 5 nilikuwa nataka nijaribu GB9 kwanza. Baada ya kutuma hela akaanza kuniongezea vipengele eti inatakiwa ifike 13,000 maana kuna service charge kwahio niongeze buku 8 ila kwa kuwa mi mtoto wa mjini nikawa nishaelewa tu nimeingizwa kwenye mfumo🤣 biashara ikaishia hapo.
Aliona ametapeli hela njiwa mno !sawa,
Sifa kuu za mtu anayetapeliwa ni kuwa na tamaa na kutotumia common sense & logic.

Mtu mwenye ufala, ambaye bidhaa kwa bei halali inajulikana inauzwa 500,000 ila yeye anaona tangazo kwamba inauzwa 200,000 na akatamani aokoe 300,000 kwa kununua bei nafuu huku akijisifu kwamba anajua machimbo wale wengine wote wanauza bei ghali.
Huyo ndio fala anayekuja kutapeliwa maana yupo group lilelile la kutumaa hela kununua TV na simu kutoka Chakechake na Wete, Samsung smart TV 55" ya laki tatu.

Wewe kwa vile bado una tamaa nakuhakikisha utanyooshwa sana tu.
Sawa,
 
Upo sahihi, e
Kuna characters ambazo ni very common kwa matapeli hasa wa kibongo.
1.Camouflaging
2.Coercion

Tukianza na hii ya Camouflaging:
Hapo tapeli huanza na kutaka kujivika wasifu wa uaminifu ili tu uone kwamba waliowahi kufanya naye biashara hawakujutia. Ni common kusikia kauli kama "tunatuma kwa uaminifu mkubwa",,, Wengine huenda mbali na kutafta watu wa kutoa ushuhuda kabisa kwamba wamefurahisa sana huduma. Jamaa ni mkombozi wao. Hii ni kama icing sugar kwenye cake ambapo mlengwa unajengewa mazingira ya ku trust the process.

Next step huwa ni Coercion
Katika hatua hii kama ukiwa smart ni rahisi kumstukia tapeli maana ukionesha hutoi ushirikiano atazidi kuwa bitter kwako. Wengi hutumia lugha ya ukali na vitisho kwamba ukikataa kukubaliana na offer anayokupa humkomoi yeye bali wewe ndiye unafeli, anakuweka kwenye tension kubwa sana. Hapa unashurutishwa ili utoe pesa haraka ili kusudi jambo likamilishwe or else unaonekana hauko serious. Unaweza kuambiwa hata ukope mahali ili jambo likamilike kwa haraka. Hapa huwa Tapeli hatakagi kupoteza muda, ata strike faster na kuchukua hela yako na by the moment unarudi kwenye utulivu na kuanza kutafakari vizuri unajikuta ulishafanya wrong decision na uko kwenye majuto.

Hizo stage mbili matapeli wote lazima wakupitishe humo. Antidote ya matapeli ni kuwapa condition ngumu tu. Either akamilishe part yake ndio umlipe au kama hawezi aache. Hakuna mali

We bado mshamba mwanangu huepuki kutapeliwa.
Ushamba ushaa nitoka sahizi, ulibakia kidogooo Leo umenitoka wote siji tapeliwa tena
 
Upo sahihi, e
Kuna characters ambazo ni very common kwa matapeli hasa wa kibongo.
1.Camouflaging
2.Coercion

Tukianza na hii ya Camouflaging:
Hapo tapeli huanza na kutaka kujivika wasifu wa uaminifu ili tu uone kwamba waliowahi kufanya naye biashara hawakujutia. Ni common kusikia kauli kama "tunatuma kwa uaminifu mkubwa",,, Wengine huenda mbali na kutafta watu wa kutoa ushuhuda kabisa kwamba wamefurahisa sana huduma. Jamaa ni mkombozi wao. Hii ni kama icing sugar kwenye cake ambapo mlengwa unajengewa mazingira ya ku trust the process.

Next step huwa ni Coercion
Katika hatua hii kama ukiwa smart ni rahisi kumstukia tapeli maana ukionesha hutoi ushirikiano atazidi kuwa bitter kwako. Wengi hutumia lugha ya ukali na vitisho kwamba ukikataa kukubaliana na offer anayokupa humkomoi yeye bali wewe ndiye unafeli, anakuweka kwenye tension kubwa sana. Hapa unashurutishwa ili utoe pesa haraka ili kusudi jambo likamilishwe or else unaonekana hauko serious. Unaweza kuambiwa hata ukope mahali ili jambo likamilike kwa haraka. Hapa huwa Tapeli hatakagi kupoteza muda, ata strike faster na kuchukua hela yako na by the moment unarudi kwenye utulivu na kuanza kutafakari vizuri unajikuta ulishafanya wrong decision na uko kwenye majuto.

Hizo stage mbili matapeli wote lazima wakupitishe humo. Antidote ya matapeli ni kuwapa condition ngumu tu. Either akamilishe part yake ndio umlipe au kama hawezi aache. Hakuna mali

We bado mshamba mwanangu huepuki kutapeliwa.
Ushamba ushaa nitoka sahizi, ulibakia kidogooo Leo umenitoka wote siji tapeliwa.
Kuna characters ambazo ni very common kwa matapeli hasa wa kibongo.
1.Camouflaging
2.Coercion

Tukianza na hii ya Camouflaging:
Hapo tapeli huanza na kutaka kujivika wasifu wa uaminifu ili tu uone kwamba waliowahi kufanya naye biashara hawakujutia. Ni common kusikia kauli kama "tunatuma kwa uaminifu mkubwa",,, Wengine huenda mbali na kutafta watu wa kutoa ushuhuda kabisa kwamba wamefurahisa sana huduma. Jamaa ni mkombozi wao. Hii ni kama icing sugar kwenye cake ambapo mlengwa unajengewa mazingira ya ku trust the process.

Next step huwa ni Coercion
Katika hatua hii kama ukiwa smart ni rahisi kumstukia tapeli maana ukionesha hutoi ushirikiano atazidi kuwa bitter kwako. Wengi hutumia lugha ya ukali na vitisho kwamba ukikataa kukubaliana na offer anayokupa humkomoi yeye bali wewe ndiye unafeli, anakuweka kwenye tension kubwa sana. Hapa unashurutishwa ili utoe pesa haraka ili kusudi jambo likamilishwe or else unaonekana hauko serious. Unaweza kuambiwa hata ukope mahali ili jambo likamilike kwa haraka. Hapa huwa Tapeli hatakagi kupoteza muda, ata strike faster na kuchukua hela yako na by the moment unarudi kwenye utulivu na kuanza kutafakari vizuri unajikuta ulishafanya wrong decision na uko kwenye majuto.

Hizo stage mbili matapeli wote lazima wakupitishe humo. Antidote ya matapeli ni kuwapa condition ngumu tu. Either akamilishe part yake ndio umlipe au kama hawezi aache. Hakuna malipo bila kazi.
NimeKusoma vilivyo, wakola muno.!!
 
Back
Top Bottom