Nilihukumiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi ila nimeumia kwa hiki kilichotokea

Nilihukumiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi ila nimeumia kwa hiki kilichotokea

nadhani iyo itakuwa kesi ya fidia/damage.
yani umepoteza miaka sita bado unataka kupoteza mingine kuhangaika na maisha ya wengine!?
 
Wewe Mwenyewe unajuwa kweny Nafsi yako kuwa mtoto sio wako....sasa Ukitaka kumpata mtoto wako siunapaswa kupimwa DNA ...Na gharama za DNA ni very expensive... kama vipi we tulia ...tu then Jela ulitokaje au ulikata Rufaa.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Habari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)

je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria

Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika
Kuanzia neno la kwanza hadi la mwisho katika andiko lako hujaweka nukta wala koma,yaani ni kwamba umeandika sentensi moja kuuuuuubwa sana.Ila pia maneno mengi umeyakosea sana,kwenye "L" unaweka "R" na matumizi ya "H" pasipotakiwa,hii inaleta tabu kwa mtu kuelewa vizuri ujumbe uliokusudiwa
 
Pole kwa hukumu isiyo na haki huyo wewe na hao wanaohukumiwa kama wewe bila hatia wangapi
 
Kuanzia neno la kwanza hadi la mwisho katika andiko lako hujaweka nukta wala koma,yaani ni kwamba umeandika sentensi moja kuuuuuubwa sana.Ila pia maneno mengi umeyakosea sana,kwenye "L" unaweka "R" na matumizi ya "H" pasipotakiwa,hii inaleta tabu kwa mtu kuelewa vizuri ujumbe uliokusudiwa


Halikuwa ajamaliza shure akaukumiwa kwenda jera mihaka serasini sasa unazani angewezaje kujuha kuhandika fisuli arafu jera za bongo azina makitaba useme atajisomeha na kujihendereza yeye harikuwa hanarima tu kira siku kwa iyo muonee uluma tu na hujitaidi kumuerewa ujumbe wake umpe ushauli hutakaomfaa.
 
Habari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)

je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria

Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika


Itabidi ulipie tangazo la biashara kuwa mganga wako anaweza kutoa watu gerezani.
 
Mganga aliyekutoa si yupo? Fanya kinachofurahisha moyo wako uishi kwa amani... Roho mbaya ulipwa kwa roho mbaya mara mbili... Wenyewe usema malipo duniani...
 
Mganga aliyekutoa si yupo? Fanya kinachofurahisha moyo wako uishi kwa amani... Roho mbaya ulipwa kwa roho mbaya mara mbili... Wenyewe usema malipo duniani...
Pia asante kwa ushauri wako
 
SIRAHA YA MASIKINI NI UCHAWI kiongozi we nenda kawaroge tu hao wote wafe na hako katoto katoe sadaka ya kufara ya kuteketezwa umpatie faida umiliki mali, usisimbuke na huo ukoo watakupotezea muda Nenda kwa mganga yule yule aliye fanikisha mazingaombwe yake ukatoka uwadedishe hao fasta,kama waliksudia kukufunga miaka 30 ukiendelea nao watakubambika kesi nyingine kisheria kwenye mafaili inaonyesha bado upo kifungoni ila mwili ndo upo uraini kua makini mkuu,jitahidi kugeuza moyo wako acha huruma kaka.
 
Kama ulikula mzigo kipindi hicho bado mwanafunzi ulistahili adhabu hata kama mimba si yako maana hairuhusiwi kufanya mapenzi na mwanafunzi,ulibaka. Hapo ndo inabidi tujifunze,kufanya mapenzi na hawa watoto sio salama kabisa kwa maana hawa watoto sio waaminifu kwahiyo sio rahisi kukumbuka nani alimpa mimba au anaamua kumchagua yeyote kwa interest zake.
 
Back
Top Bottom