Nilihukumiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi ila nimeumia kwa hiki kilichotokea

Nilihukumiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi ila nimeumia kwa hiki kilichotokea

Bado una kosa ulifanya mapenzi na mwanafunzi kwa hiyo bado unastahili adhabu
 
Duh pole sana mkuu maana naona umesahau hata kiswahili kabisa
 
Kuanzia neno la kwanza hadi la mwisho katika andiko lako hujaweka nukta wala koma,yaani ni kwamba umeandika sentensi moja kuuuuuubwa sana.Ila pia maneno mengi umeyakosea sana,kwenye "L" unaweka "R" na matumizi ya "H" pasipotakiwa,hii inaleta tabu kwa mtu kuelewa vizuri ujumbe uliokusudiwa
Naomba nikutukane mimi Pumbavu kabisa yaani ujumbe mzima umeona hicho umeshindwa kutoa ushauri we Kenge kweli.
 
Mshujuru Mungu, Angalia mengine hayo yamepita uzuri uneshafahamu dogo si mtoto wako. Utampata anae kupenda.
 
Habari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)

je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria

Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika
Daaaa ***** wa lahi mi ningemuingiza kaburini huyo kenge
 
Waambie waende kwa mganga akupe majibu yaan unamsifia mganga hapa kweli we kapuku
 
Pole ila nakushauri achana nao tu, kama unahic huwezi bac hama kaa nao mbali ili usiwaone na kwahuyo mtaalam we kaombe ulinzi wako binafsi tu acha kuroga watu kama mwanamke.
 
Habari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)

je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria

Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika
kwenye sheria hakuna mtaalu/mganga, ni technicalities za kisheria tu pengine ndio zilikutoa au pengine ushahidi haukutosha High Court wakakuachia. nimedumu kwenye izo ishu za mahakama miaka mingi na nimeamini uchawi haufanyi kazi. tafuta kitabu fulani cha sheria kinaonyesha namna ya kukata rufaa Mahakama Kuu na Mahakama ya rufani. bofya hapa Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videos
 
Rudi mahakamani huyo jamaa atafungwa yeye, na umshtaki binti kwa kukusingizia mimba. Usichelewe aisee yeye na mke wake watafungwa and uwadai fidia pia ya kukupotezea muda gerezani
 
Habari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)

je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria

Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika
HIVI WEWE NI MZIMA KWELI??????
 
Unahamu ya kurudi tena ulikotoka si bure
 
Back
Top Bottom