Nilihukumiwa kwa kumpa mimba mwanafunzi ila nimeumia kwa hiki kilichotokea

Achana na huyo mwanamke mpumbavu. Wewe cha kufanya, fungua kesi ukiishtaki jamuhuri kuwa ilikuhukumu bila hatia hivyo wakulipe fidia ya milioni sabini na mbili. Yani kila mwezi mmoja ungeweza kujizalishia milioni moja, kwa mwaka milioni 12 na kwa miaka 6 milioni 72. Hilo litaifanya mahakama ilazimishe kupima DNA ili kupata uthibitisho then kesi itaendelea na wewe utalipwa fidia.
Tafuta mwanasheria ambaye kama ukishinda hii kesi atakuala 30% ya hiyo hela.
 
Ila kaeleweka. Hajaja kutafuta mwalimu wa Kiswahili humu, hao wamejaa tele hadi wengine wanapelekwa chekechea na huenda atawatafuta akipata muda na uhitaji. Hapa anatafuta mjuzi wa SHERIA.
 
Kama ni kweli mtoto sio wako, basi unahaki ya kuwakazia. Ila kama wamekwambia hivyo ili tu uondoke, basi hapo ngoma ngumu. Maana vikifanywa vipimo ikakutwa ni wako utarudi ukamalizie miaka iliyobaki.
 
Pole sana mkuu, unaonaje ukaenda kwa huyo mganga amloge hy mwanamke papuchi isifunguke tena na mwanaume jogoo asiwike tena !!!!
Na ndio kilichobaki. Kama mganga ameweza kukutoa jela, hatoshindwa kwa ilo. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Utoke jela uijue na jamii forum hadi majukwaa yake na kuandika uzi huu utani kabisa
 
Pole sana mkuu, unaonaje ukaenda kwa huyo mganga amloge hy mwanamke papuchi isifunguke tena na mwanaume jogoo asiwike tena !!!!
Kuwaroga bila faida it doesn't make sense. Awafanye misukule tu.
 
Sema hii kesi yako inanikumbusha jamaa mmoja alihukumiwa miaka kadhaa jela kwa kosa la kumuua mkewe. Off course jamaa alikuwa na tabia ya kumpiga sana mkewe.

Sasa kuna siku mkewe akapotea kwenye mazingira ya kutatanisha, jamaa akawa anashikiriwa na polisi. Kuna siku kiganja cha Mwanamke kikaokotwa ziwani. Uchunguzi kufanyika ikasemekana jamaa alimuua mkewe na kumtupa ziwani (japo uthibitisho haukuwepo)

Jamaa akapigwa jela miaka kadhaa(ilikuwa miaka ya 80 mwishoni or 90 mwanzoni)

Kwenye miaka hii ya 2000,jamaa alimaliza adhabu yake akarudi uraiani. Sasa katika pita pita zake, akakutana uso kwa uso na yule mke wake aliyedaiwa kumuua.

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ushauri mgumu.
 
Mkuu kumbuka amesema katoka jela πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
unauhakika huyo mtoto sio mwanao? kama sio unaweza anzisha mtiti na ulipwe fidia vinginevyo ndo utajua Uchawi uliokutoa unagonga mwamba kwa serikali na unarudi tena
 
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duniani kuna vitu vigumu sana na hiki ni kimojawapo....
Ushauri wangu kwako ili uweze kusonga mbele ni huu
Katika maisha kuna baadhi ya watu huchaguliwa kuumia ili kufikisha unabii... Kesi yako itaingia kwenye vitabu vya kumbukumbu za kesi zilizokosewa
Kwakuwa sasa umetoka! Bila kujali umetumia njia gani kutoka hata mkono wa Mungu umefanya kazi yake hapo... Achana na yote USILIPE KISASI.. SAMEHE uweze kukombolewa kutoka laana na mikosi itakayowakumba watesi wako
Kuna wengi wana kesi za kubambikwa kama yako lakini hawajajaliwa hii NEEMA ya kuachiwa huru....
Ukiweza kawaambie UMEWASAEMEHE halafu utaona maajabu
 
Ata kama sio wako lkn kwakuwa ulitembea na mtoto wa shule hatia itakukumba tuu, anaweza akasema kuwa mimba ya mtoto wako aliitoa, na mambo kwake yakaenda vzr.
 
unauhakika huyo mtoto sio mwanao? kama sio unaweza anzisha mtiti na ulipwe fidia vinginevyo ndo utajua Uchawi uliokutoa unagonga mwamba kwa serikali na unarudi tena
Hawezi kushinda, kama alikiri kuwa alitembea nae baaaaaas hamna kesi hapo.
 
Aisee hii kali sana... pole mkuu
 
Hivi hamjagundua kuwa huyu jamaa anatangaza biashara ya mganga wake aliyemsaidia akatoka jela...?! Janja ya nyani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…