Niliibiwa naona...

Wewe mwenyewe Muharibifu tu na uliiba mara ngapi leo utake BIKIRA wakati wewe hukutunza ?Inamaana alipokuwa anakutosa nawe ulikuwa unachakachua maeno sasa kama lengo lango kukuta Bikira umeumbuka.
Ulianza mapema sana Darasa la 7?
Majibu yako yananitatiza kidogo
 

Halafu ukiitwa ''mume *****'' utachukia? Usikute huyo hata bikira ya nyuma pia hana! Shauri yako!
 
Halafu ukiitwa ''mume *****'' utachukia? Usikute huyo hata bikira ya nyuma pia hana! Shauri yako!

Kiongozi huu mwaka unauanzaje?

Hebu tukutane salenda pale tujadili masuala ya katiba mpya.
 
Mjukuu keshakuonya uache umbea. Haya rudi kwenye mada, kwanini ulimuibia wakati anaona?

angekuwa anaona asingeibiwa
alikuwa anatazama lakin aoni the nkatake advantage
KWAN BABU UNA BKRA? BADOAUJAMDANGANYA BIB?
 
angekuwa anaona asingeibiwa
alikuwa anatazama lakin aoni the nkatake advantage
KWAN BABU UNA BKRA? BADOAUJAMDANGANYA BIB?

Bibi hana vikwazo. Ameniruhusu kuwakagua wakati yeye analea wajukuu.
 
Sikuihatarisha mzee, hakuwa nayo huyo mdada na ilikuwa gear tu kuwa kukorofishana two weeks ikatolewa, alikuwa yule mmmmmmeeeeeeeeeee kwenye gunia mzee acha mzee nivute subira...

Mshukuru aliye kusaidia,hiyo kazi ya kutoa bikira ungeiweza?

Inahitaji msuri kwa umri aliokuwa naoa huyo dada!
 
Hivi inakuwaje mwanaume anakula nje halafu akihisi mke/mpenzi anaenda nje anakuwa mkali. Sijui tunakuwaje..........

AAAh kumbe mkuki kwa nguruwe...




Mkuu ulishaona wapi katika dunia hii mitamba wanagombania jogoo,lakini hebu tazama kasheshe ya jogoo wakikutana tu, na hapo bado hajamfumania mwenzake.
 
Hivi Bikira bado zipo humu duniani kweli,sijaona wala kumsikia msichana mwenye bikira siku nyingi kweli.
 
Hivi Bikira bado zipo humu duniani kweli,sijaona wala kumsikia msichana mwenye bikira siku nyingi kweli.
mkuu kuanzia chekechea watu wanaanza kumegana.......bikira zipo ILA NI CHACHE.
 

mkuu usiombe ahadi ya kubikiri upewe, unakuwa na hamu siku ije uione hehehe, lakini kama haipo ndo hapo kasheshe, niliuliza baada ya kuweka mirija tu, bibie iko wapi? kigugumizi kikanijia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…