Majibu yako yananitatiza kidogoWewe mwenyewe Muharibifu tu na uliiba mara ngapi leo utake BIKIRA wakati wewe hukutunza ?Inamaana alipokuwa anakutosa nawe ulikuwa unachakachua maeno sasa kama lengo lango kukuta Bikira umeumbuka.
Ulianza mapema sana Darasa la 7?
Vipi wewe, je nawe ulikuwa bikira? Au bikira ni upande mmoja tu!
Nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..
Halafu ukiitwa ''mume *****'' utachukia? Usikute huyo hata bikira ya nyuma pia hana! Shauri yako!
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
Mjukuu keshakuonya uache umbea. Haya rudi kwenye mada, kwanini ulimuibia wakati anaona?
angekuwa anaona asingeibiwa
alikuwa anatazama lakin aoni the nkatake advantage
KWAN BABU UNA BKRA? BADOAUJAMDANGANYA BIB?
Bibi hana vikwazo. Ameniruhusu kuwakagua wakati yeye analea wajukuu.
kwa iyo babu UNA BKRA eennh?????
Kiongozi huu mwaka unauanzaje?
Hebu tukutane salenda pale tujadili masuala ya katiba mpya.
Sikuihatarisha mzee, hakuwa nayo huyo mdada na ilikuwa gear tu kuwa kukorofishana two weeks ikatolewa, alikuwa yule mmmmmmeeeeeeeeeee kwenye gunia mzee acha mzee nivute subira...
Unaruhusiwa kuja kuhakiki.
Hivi inakuwaje mwanaume anakula nje halafu akihisi mke/mpenzi anaenda nje anakuwa mkali. Sijui tunakuwaje..........
AAAh kumbe mkuki kwa nguruwe...
u r right but we can THRUST women
mkuu kuanzia chekechea watu wanaanza kumegana.......bikira zipo ILA NI CHACHE.Hivi Bikira bado zipo humu duniani kweli,sijaona wala kumsikia msichana mwenye bikira siku nyingi kweli.
Nikweli hawasemi, lakini hawasemi kwa kuogopa kuchakachuliwa kwabni wanaume wanapenda sana bikira. Ya nini akwambie, si utajua siku ikifika??. Wewe ulipiosikia bikira umeuzwa si ulisikitika. ina maana ulikuwa unaivizia kwa udi na uvumbi???? tete te te.
Chapa mwendo hapo hakuna kitu.