mama mbona unanisutaga hivi jamani? Nilikupigia hukupokea, nikatext msg no reply vipi au suluba tu bibie? Jamani nakumissigi kwa sana weye mamaaaaaaaa....
oyaa mkali magulumangu ee
mpaka mwisho na wewe ulikuwepo sealed?
Magulumangu, umechakachuliwa kama unataka kuendelea nae endelea ila kama unataka bikra ndiyo umekosa. Kubali yaishe.
Magulumangu, umechakachuliwa kama unataka kuendelea nae endelea ila kama unataka bikra ndiyo umekosa. Kubali yaishe.
mmmhhhh hayo ya mwaka jana tuyaache au vipi..
kuanzia mwaka huu simu nitakuwa nayo 24/7..
kila baada ya nusu saa tutaongea...
huu mwaka ni wa upendo tu kwangu hopefully kwako pia..
au unasemaje baba????
Mkuu nilikuwa bland niu kabisa mtu wangu, alinitenda wewe mwache tuuuuuuuu
Sina pingamizi kwako mama, yote usemayo niko nyuma yako, wewe ndo taa yangu, mkono wako ni muhimu kama fimbo kwa kipofu, kila second tuongee mama naana sauti yako tu shuka lazima nifue kesho yake....
yaani bland new like genuine kabsaaaaa
vipi ushakata utepe?
hahahahahah lol
Magulumangu wewe haya mi nilidhani haya ni ya mwaka jana lol
yale mambo ya bila wewe sili silali sinywi na sihemi hahahahahah lol
umenichekesha,........lol
mmmhhh labda anabikira kipande kile cha kule.....
hatujui
Nikinywa maji nakuona kwenye glass bibie, bora nisile swit ila kukuona wewe tu nakuwa nimeshiba...
Niliogopa kile kipande nisije nikaumbuka zaidi, bola nilikomea huko huko sebuleni...
hahahahahahha lol
mmmmhhhhh lakini mnatuwezaga sana kwa kweli
mjeshi hukaa kwenye magwanda yake, akitoka atajulikanaje mjeshi? najivunia utepe wangu DJ Vipi ijumaa tunatwanga kama kawa club yetu?
mmmmhhh mi nilizani we mambo ya bata unayafagilia sana...
au yale niya mwaka jana.
mmmmmmmhhh unanitisha nini cha mwaka huu hahahahah lol
kaka ni mipini bandika bandua kama vipi ntakucheki nikutonye ntakuwa nawakilisha wapi kama vipi utie maguu
Pamoja daima mkuu...
Bila hayo bibie unadhani kitaeleweka basi? Ila wewe Afrodenzi wangu mie sio siri kila nikuonapo moyo lazima udunde, sinaga ukali kwako mama, wacha waseme umenilisha limbwata mama, watasema lkn usiku kitandani watalala.