Niliingia kwenye mahusiano na binti wa miaka 19

Niliingia kwenye mahusiano na binti wa miaka 19

Hatuna mtoto ila hajatulia kabisa hata fariki zake wamejaribu kumshauri kwa njia yoyote lakini haiwezekani imefika pahara rafiki zake wa karibu wakanambia kuwa huyo anadanganywa na umri lakini bia ndio mda ambao anajifunza tabia mbaya ambazo matokeo yake yatakuja kuwa mabaya kwenye familia baadaye maana tabia haibadiriki, msichana anaanza kujitunza na kujiheshimu akiwa katika umri huo ila ukaona anabcheat kwa nyakati hizo na yupo na wewe basi me la kukushauri tafta njia ya kumkwepa ingawa sikushauri kuvunja uhusiano ila fanya mpango wa kutatua tatizo hulo
Ni changamoto mkuu hasa ukizingatia anatarajia kujifungua
 
Kitu mnato sio??..enjoy the consequenses..ila bado huyo dogo mdogo sana kiakili mkuu.
 
Kwamba mtoto wa miaka 18 unaishi nae ghetto

Kwamba umepiga kambi.

Kwamba unaamini ni wako peke ako.

Kwamba ameshamaliza harakati za hapa na pale.

Aloooh hawa viumbe below 23 ni watata sana
 
Kwamba mtoto wa miaka 18 unaishi nae ghetto

Kwamba umepiga kambi.

Kwamba unaamini ni wako peke ako.

Kwamba ameshamaliza harakati za hapa na pale.

Aloooh hawa viumbe below 23 ni watata sana
Imeshatokea mkuu bora kuangalia mbele suluhisho ni nini
 
Kuna mmoja wa form six nilimpa lift then tukabadilishana namba baada ya siku tatu nikamuita lodge aisee yule mtoto wa kitanga alikuwa mtamu, mnato si mnato yaani nilikojoa hadi nikasema basi nilimuachia laki palepale.

Sasa hivi kaenda shule anarudi mwezi wa 12 nitampokea nitamsulubu ndio aende kwao yule mtoto ni mzuri sana.
 
Kuna mmoja wa form six nilimpa lift then tukabadilishana namba baada ya siku tatu nikamuita lodge aisee yule mtoto wa kitanga alikuwa mtamu, mnato si mnato yaani nilikojoa hadi nikasema basi nilimuachia laki palepale.

Sasa hivi kaenda shule anarudi mwezi wa 12 nitampokea nitamsulubu ndio aende kwao yule mtoto ni mzuri sana.
Mtoto wa mwenzio muone kama mtoto wako, naimba tu
 
UPDATE
Nimeendelea kuhudumia ujauzito na kwa jinsi tunavyozungumza anaonyesha kujutia mno kitendo alichokifanya na hata kulia na kutoa machozi kabisa akiomba msamaha.Sasa wakuu hii inaweza kuwa ni kutokana na ujauzito tu aliokuwa nao ndio unapelekea afanye hivyo au ni majuto kweli kutoka moyoni?

Nawasilisha
 
Binti huyu anafaa kuwa mke? Je,ni umri tu labda akikua atatulia kama mke?
 
Swala la kusaliti mwanamke halina uhusiano naumri mbona had wazee wanafanya labda kama unataka malaika
 
Back
Top Bottom