Niliingia kwenye mahusiano na binti wa miaka 19

Niliingia kwenye mahusiano na binti wa miaka 19

mkuu hebu rudi ulee mtoto, onea huruma familia yake na future ya huyo dogo.....just waza mtoto wako atakuwa mtu wa namna gani......naamini huyo binti atabadilika maana umri wa kubadilika ndio huohuo na tukio la kumbadilisha ndio hilo.....

Usifanye mtoto, familia ya binti na huyo binti wakaishi kwa manung'uniko mkuu, ni heri usingempa mimba ila mimba itakwamisha kila harakati yake na uhuru wake umekuwa mdogo

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mbona Watoto Wengi wanalelewa hivyo na wanatoka,uyo hakuna kumpa nafasi tena ni msaliti na umri wake mdogo ngoja apate somo kwanzj
 
Usiangalie future yake tu angalia na future yangu pia.Kuishi na binti ambaye ameshafanya usaliti na kumfanya kuwa mke wa ndoa hapo baadaye unaona ni sawa?
Harudii tena huyo, ameshaona ujinga wake unavyoweza mkost. Shida ilikuwa umri.
 
Wewe huwezi kuchomoka umesha nogewa na huyu bint wa 19, umekuja kutusanifu tu, ila jua mwanamke wanafanana tabia wote miaka kwao haina uwiano na matendo yao. Na pili mwana mke abadilikagi isipo kua anaficha au kupumzisha tabia yake mbaya, ila huiibua badaye.
Acha ujinga wewe mwanamke wa above 26 yrs thinking capacity yake ni kubwa mno kuliko huyo wa 18-24! Wengi wanajitambua above 26 yrs...unless wawe watoto wa uswahilini kama keko ndio hata akiwa na miaka 40 bado anakuwa mpuuzi puuzi!
 
Acha ujinga wewe mwanamke wa above 26 yrs thinking capacity yake ni kubwa mno kuliko huyo wa 18-24! Wengi wanajitambua above 26 yrs...unless wawe watoto wa uswahilini kama keko ndio hata akiwa na miaka 40 bado anakuwa mpuuzi puuzi!
Hivi kwanini cc wa swahili tulio wegi lazima ukiwa na mawazo au mtazamo kizani na mtu mgine lazima utukane? Nimalezi au elimu?
 
Ndo maana nauliza ni mazingira au makuzi ndo yanao tufanya tuaone kama sio matusi?
Tafuta tafsiri ya maneno hayo,mjinga na mpuuzi si matusi labda ungequote mrejesho ambao umetumia lugha ya matusi.Ila siwezi kukataa kwa Tanzania ni kwamba wengi wanatmia matusi hasa katika kujenga Hoja Zao.
 
Mkuu nakushauyi rudiana nae endelea nae

Jenga urafiki na mke wako.. hata hapo siku za badae hata kufanyia usaliti. Mapenzi ukichabganya na ubest au urafiki na akiwa anakupenda kweli itamuwia vigumu kukusaliti hapo baade.

Endelea nae huo ni umri sahihi kabisa wa kuwa nae!
 
Habari zenu wakuu,

Nimekuwa na mahusiano na binti mmoja,Ambaye tulikutana akiwa na miaka 18 nikiwa nimemzidi miaka 12 tukaishi naye pamoja (pika pakua) mpaka alipotimiza miaka 19 mapema mwaka huu.Naweza kumsifia kuwa ni binti ambaye hakuwa na makuu wala tamaa maana alinikubali na maisha yangu hata nikiwa sina sawa nikiwa nacho sawa pia alikuwa mchapakazi na mwenye kujituma sana katika kutafuta.

Siku za karibuni alipata ujauzito ila mahusiano yaliingia dosari baada ya kugundua kuwa alisaliti. Pia aina ya mawasiliano aliyokuwa akifanya na wanaume tofauti tofauti hayakuwa na afya kwa mahusiano. Roho iliniuma sana, Pamoja na ujauzito aliokuwa nao Nilimrudisha kwao nikamueleza kwamba hata huo ujauzito sina uhakika kama ni wangu. Amekuwa akilia na kubembeleza kuomba msamaha kusisitiza ujauzito ni wa kwangu, Yupo radhi hata DNA ihusishwe.

Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri,

Je, kwa umri huo kuna uwezekano wa kubadilika huko mbeleni?

Je, Ikiwa ujauzito ni wangu kweli (ninahisi hivyo baada ya kujihakikishia) itakuwaje?

Je, Ni kawaida kwa mabinti wa umri huo kuchepuka kwamba baada ya umri fulani atatulia?

Je, Nikubaliane kwamba mtoto apate malezi ya mzazi mmoja ? (japo roho inaniuma kuona mtoto wangu ataishi mbali na baba yake na sikutegemea nitawahi kuwa na mtoto wa nje)

Je, Malezi ya mtoto pasipo na wazazi wawili hayatakuwa na madhara kwa mtoto?

Nawasilisha.
Mkuu nakushauri kabisa tafuta binti mwenye umri kidogo ambao anaona ni mda wa kujenga familia tofauti na hivo utaendelea kulia lia tu kila siku, me sitamani kusimulia yanayonitoke mpaka sasa kwa kibinti chenye umri kama huo huo, Huwa wanajiona kuwa bado wanao mda wa kutosha wa kuponda raha na niwaigizaji wazuri wa mapenzi, kuchapiwa kuko nje nje, napigilia msumari ACHA KABISA
 
Mkuu nakushauri kabisa tafuta binti mwenye umri kidogo ambao anaona ni mda wa kujenga familia tofauti na hivo utaendelea kulia lia tu kila siku, me sitamani kusimulia yanayonitoke mpaka sasa kwa kibinti chenye umri kama huo huo, Huwa wanajiona kuwa bado wanao mda wa kutosha wa kuponda raha na niwaigizaji wazuri wa mapenzi, kuchapiwa kuko nje nje, napigilia msumari ACHA KABISA
Mkuu natamani unijuze japo kidogo yanayoendelea kwako.Ina maana hapatakuwa na namna kabisa ya kumdhibiti mpaka atakapofikisha walau 25? Kwa hiyo ni bora mtoto abaki kwa mama yake na nianze maandalizi ya mke mwingine (mtoto wa nje).Hakuna uwezekano wa kutulia siku za mbele? Au baada ya kujifungua? Wa kwako mna mtoto/watoto?
 
Tambua bado yupo kwenye uvunjaji ungo,kuvunja ungo ni mchakato hivyo bado yuko kwenye foolish age,mchukue mlee hadi atakapojifungua na umuoe kabisa kama imani yako ni kwamba atabadilika.Nasema kama imani yako inakuonyesha atabadilika,kwasababu suala la usaliti miaka hii,ni vigumu kuachwa kwasababu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia ikiwa ni kigezo mojawapo,wakikumbukana,watafanya tu.
 
Mkuu nakushauyi rudiana nae endelea nae

Jenga urafiki na mke wako.. hata hapo siku za badae hata kufanyia usaliti. Mapenzi ukichabganya na ubest au urafiki na akiwa anakupenda kweli itamuwia vigumu kukusaliti hapo baade.

Endelea nae huo ni umri sahihi kabisa wa kuwa nae!
Tulijenga urafiki huo na kusamehe lakini tulipgwa kitu kizito awa viumbe awaeleweki
 
Mkuu natamani unijuze japo kidogo yanayoendelea kwako.Ina maana hapatakuwa na namna kabisa ya kumdhibiti mpaka atakapofikisha walau 25? Kwa hiyo ni bora mtoto abaki kwa mama yake na nianze maandalizi ya mke mwingine (mtoto wa nje).Hakuna uwezekano wa kutulia siku za mbele? Au baada ya kujifungua? Wa kwako mna mtoto/watoto?
Uyo sio Mtabiri kaka,za kuambiwa changanya na zako
 
Habari zenu wakuu,

Nimekuwa na mahusiano na binti mmoja,Ambaye tulikutana akiwa na miaka 18 nikiwa nimemzidi miaka 12 tukaishi naye pamoja (pika pakua) mpaka alipotimiza miaka 19 mapema mwaka huu.Naweza kumsifia kuwa ni binti ambaye hakuwa na makuu wala tamaa maana alinikubali na maisha yangu hata nikiwa sina sawa nikiwa nacho sawa pia alikuwa mchapakazi na mwenye kujituma sana katika kutafuta.

Siku za karibuni alipata ujauzito ila mahusiano yaliingia dosari baada ya kugundua kuwa alisaliti. Pia aina ya mawasiliano aliyokuwa akifanya na wanaume tofauti tofauti hayakuwa na afya kwa mahusiano. Roho iliniuma sana, Pamoja na ujauzito aliokuwa nao Nilimrudisha kwao nikamueleza kwamba hata huo ujauzito sina uhakika kama ni wangu. Amekuwa akilia na kubembeleza kuomba msamaha kusisitiza ujauzito ni wa kwangu, Yupo radhi hata DNA ihusishwe.

Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri,

Je, kwa umri huo kuna uwezekano wa kubadilika huko mbeleni?

Je, Ikiwa ujauzito ni wangu kweli (ninahisi hivyo baada ya kujihakikishia) itakuwaje?

Je, Ni kawaida kwa mabinti wa umri huo kuchepuka kwamba baada ya umri fulani atatulia?

Je, Nikubaliane kwamba mtoto apate malezi ya mzazi mmoja ? (japo roho inaniuma kuona mtoto wangu ataishi mbali na baba yake na sikutegemea nitawahi kuwa na mtoto wa nje)

Je, Malezi ya mtoto pasipo na wazazi wawili hayatakuwa na madhara kwa mtoto?

Nawasilisha.
Unaandika kama mvulana wa miaka 13, sio kama mwanaume wa miaka 31...yaan vice versa.
 
Mkuu natamani unijuze japo kidogo yanayoendelea kwako.Ina maana hapatakuwa na namna kabisa ya kumdhibiti mpaka atakapofikisha walau 25? Kwa hiyo ni bora mtoto abaki kwa mama yake na nianze maandalizi ya mke mwingine (mtoto wa nje).Hakuna uwezekano wa kutulia siku za mbele? Au baada ya kujifungua? Wa kwako mna mtoto/watoto?
Hatuna mtoto ila hajatulia kabisa hata fariki zake wamejaribu kumshauri kwa njia yoyote lakini haiwezekani imefika pahara rafiki zake wa karibu wakanambia kuwa huyo anadanganywa na umri lakini bia ndio mda ambao anajifunza tabia mbaya ambazo matokeo yake yatakuja kuwa mabaya kwenye familia baadaye maana tabia haibadiriki, msichana anaanza kujitunza na kujiheshimu akiwa katika umri huo ila ukaona anabcheat kwa nyakati hizo na yupo na wewe basi me la kukushauri tafta njia ya kumkwepa ingawa sikushauri kuvunja uhusiano ila fanya mpango wa kutatua tatizo hulo
 
Back
Top Bottom