Uchaguzi 2020 Niliingiza jumla ya Tsh laki 8 kwa watia nia hawa Nkenge lakini nikawasaliti sandukuni

Uchaguzi 2020 Niliingiza jumla ya Tsh laki 8 kwa watia nia hawa Nkenge lakini nikawasaliti sandukuni

'mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana hatia..' na Baba wa Taifa,Julius Nyerere

wahi takukuru ujieleze....nje ya hapo huna tofauti na kazima,kazala na asumpta

pia kyombo inapasa ajiengue...hasa kwa dhana ya due dilligence

na rudisha hela
 
'mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana hatia..' na Baba wa Taifa,Julius Nyerere

wahi takukuru ujieleze....nje ya hapo huna tofauti na kazima,kazala na asumpta

pia kyombo inapasa ajiengue...hasa kwa dhana ya due dilligence

na rudisha hela
usintishe mkuu siendi takukuru wala sirudishi hela kama wataniua waniue me nlishamaliza kazi sandukuni
 
usintishe mkuu siendi takukuru wala sirudishi hela kama wataniua waniue me nlishamaliza kazi sandukuni


Waziba mlekele obushuma , olimshuma kamala kubaki umuimile ekura olimshuma iwe msigazi lazima tukukwate.
 
Yaani huyo kyombo ameacha ukurungenzi , lazima kamati kuu wamkate
 
Mwana umewakomesha safi sana,wajumbe wa CCM ni noma sana mmewafanya vibaya sana mwaka huu.Mwakyembe hatawasahau kilichomkuta Kyela anakijua mwenyewe haaa haaa
 
PCCB Kuna mteja wenu huku!!!

Halafu andaa na ushahidi wa waliokupa rushwa mkalime michikichi wote kule Gereza la Kigoma
 
Mleta mada amethibitisha hilo, nisikie sasa wale wapuuzi wanasema CCM Hakuna rushwa
"Sie tunapokea na kuweka kwenye kofia, ndio maana tunaita takrima. Huo ndio mtindo mpya CCM mpya"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20200722-WA0043.jpg
 
kumbe ni kweli wajumbe sio watu wazuri...
Ila wa Kigamboni ndio kiboko zaidi. Lakini watapata taabu sana, maana mzee wa Kolomije baada ya kuvuliwa nguvu za dola (uenyekiti ulinzi na usalama) kaamua kupambana na wajumbe kwa kuwaendea Gambushi kuwakomesha.
Wajumbe wakae chonjo!
 
Tutajuaje za Kyombo pia ulikula ila kwa kuwa ndio Swahiba wako ukaamua kuwaponda hao wengine.
 
Hiyo kwangu siiti rushwa, ila kama ungewachagua ningekuweka kwenye kundi la wala rushwa
 
Back
Top Bottom