Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwezi wa kwanza na wa pili wa bata tuu mambo mazuri wa tatu nao umeanza vizuri nahisi inategemea unauza niniAiseee mwezi wa pili ni kiboko, mwenyewe niliiva
Yaan had nawaza nichange sijuh nihamie kwenye Ninimkuu unauza nini?
share unaweza pata strategy nzuri ya biashara humu sangine uliyonayo isha expire [emoji2][emoji2][emoji2]
Boss nikumbuke kwenye ufalme wako.mimi mwezi wa kwanza na wa pili was bata tuu mambo mazuri wa tatu nao umeanza vzr nahisi inategemea unauza nini
Kuhamahama kibiashara ni kubaya. Wewe komaa na hiyohiyo biashara. Tambua biashara hainaga mapato ambayo ni constant kila siku.Yaan had nawaza nichange sijuh nihamie kwenye Nini
Hahahahahah tatizo lako wewe mlinzi sio securityBoss nikumbuke kwenye ufalme wako.
SawaUvumilivu ni kitu cha muhimu Sana .. usipate Tu wazo la kubadili biashara yanaweza yakakutokea puani Vibaya sana
Jobless pro max Sina la kusema hapo
- Biashara ni sanaa..
- biashara ni science .
- biashara ni hesabu...
- biashara ni imani
- BISHARA NI VURUMAI 😂😂
Ni promote bas nipande cheo nami nile mema ya nchi!.hahahahahah tatizo lako wewe mlinzi sio security
Ilipoingia February aloo Mambo yalikua magumu, sikupata mteja mwezi mzima,Nafanya business online,huu mwaka wa 2
Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza,
Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa
TOA matumizi,bills,chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi 3
Mwisho wa siku baada ya matumizi hayo yote, nikajikuta nina pesa cash 1M na shilingi Kazaa
Ilipoingia February aloo Mambo yalikua magumu, sikupata mteja mwezi mzima,
Vivyo hivyo mwezi March hakuna mteja nimepata
Napost KILASIKU Hadi Sasa naona natumia bando la bureeee
HONGERENI MLIO AJIRIWAAAA BIASHARA INA TU MAMBO MAMBO SANA. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ulipokuwa unapata ulikuwa hujui Kuna kukosa?Mbona kwangu imekua mbaya Zaid😢
Alihisi ni kufunga magoli tu, 🤣😂Ulipokuwa unapata ulikuwa hujui Kuna kukosa ?