Mindset mbovu sana hiyo πππAli hisi ni kufunga magoli tu, π€£π
Mwaka Jana mambo yaki change kidogo, miksa sijuwa sawa kiakili.Mindset mbovu sana hiyo πππ
Mshana unafanya biasharaIlipoingia February aloo Mambo yalikua magumu, sikupata mteja mwezi mzima,
Vivyo hivyo mwezi March hakuna mteja nimepata
Kwenye biashara kuna kupata na kukosa
Nafanya business online, huu mwaka wa 2
Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza,
Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa
TOA matumizi, bills, chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi 3
Mwisho wa siku baada ya matumizi hayo yote, nikajikuta nina pesa cash 1M na shilingi Kazaa
Ilipoingia February aloo Mambo yalikuwa magumu, sikupata mteja mwezi mzima.
Vivyo hivyo mwezi March hakuna mteja nimepata
Napost KILASIKU Hadi Sasa naona natumia bando la bureeee
HONGERENI MLIO AJIRIWAAAA BIASHARA INA TU MAMBO MAMBO SANA. ππππ
Pesa ya kawaida Sana hii kwenye cryptoNafanya business online, huu mwaka wa 2
Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza,
Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa
TOA matumizi, bills, chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi 3
Mwisho wa siku baada ya matumizi hayo yote, nikajikuta nina pesa cash 1M na shilingi Kazaa
Ilipoingia February aloo Mambo yalikuwa magumu, sikupata mteja mwezi mzima.
Vivyo hivyo mwezi March hakuna mteja nimepata
Napost KILASIKU Hadi Sasa naona natumia bando la bureeee
HONGERENI MLIO AJIRIWAAAA BIASHARA INA TU MAMBO MAMBO SANA. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]