Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mkuu it's 20 yrs ujueYaani umemaliza shule ya msingi mwaka 2000, then unakuja hapa kujiita muhenga....[emoji3525][emoji3525]
Anyway, ebu ngoja nikae kwa hapa pembeni nisome tu comments
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu it's 20 yrs ujueYaani umemaliza shule ya msingi mwaka 2000, then unakuja hapa kujiita muhenga....[emoji3525][emoji3525]
Anyway, ebu ngoja nikae kwa hapa pembeni nisome tu comments
Na sio bwai mkuu,,.hiyo ni mbwai...neno la kisambaa,,maana yake kama nini?kama bwai bwai.... hapa mkuu ulimaanisha nini?
Inawezekana mkuu,,Kijiji chote na hao wanafunzi wote na hawana ukimwi basi...
Unadhani nyimbo zote zinazoimbwa mwaka huu 2020, basi zimetungwa na kuachiwa mwaka huu?Nyimbo zote ulizotaja hamna ya mwaka 2000
Yes mkuu, lakini hiyo ndio zamani yake...[emoji41][emoji41]Mkuu it's 20 yrs ujue
Ukute umemaliza 2012Mgololo oyeee..Mimi nimesoma Mpanga primary school..ulikua jirani kumbe
Zamani kuwa na wimbo lazima uwe umeachiwaUnadhani nyimbo zote zinazoimbwa mwaka huu 2020, basi zimetungwa na kuachiwa mwaka huu?
We r not in the same boat!Ukute umemaliza 2012
Watu tumemaliza STD 7 1992!Kuna watoto humu acha tuYes mkuu, lakini hiyo ndio zamani yake...[emoji41][emoji41]
Nilichelewa kuanza shule,35 yrs now.
Fine thank youWe r not in the same boat!
Inawezekana mkuu,,
Ukimwi ni ajali kama ajali zingine,,
Unaweza ukawa muhuni wa kwenda peku na usipate,,,
Na wewe mtulivu ukatembea na mmoja tu,,na huyo huyo akakupa maradhi,,
Mimi kuna jamaa namjuwa alikuwa anachukuwa wale Malaya wa Rambo pale manzese,,
Never miss kila siku lazima alale na wawili Malaya,,
Na mwisho kazaa nao malaya wawili pale,,na yupo powa kabisa hana ugonjwa wowote,,
Usimpinge mleta uzi
Mgololo no kijijini,elimu ilikuwepo yakutosha kabisa,tatizo kama pale nilivyomwambia yule Dada kuwa nimetumia condom Ila akajibu c umenyonya urimi au nao ulivaa condom? Ndio akanimaliza kabisa maana tulikuwa hatuna elimu yakutosha.Ina maana kwa miaka hiyo bado watu hawakujua ukimwi unaambukizwa aje? Umetumia kinga na bado unajishuku?
Tubu na mshukuru Mungu kwa dhati, kwa sababu hao uliodhani unawagawia ukimwi, tendo ovu kabisa, na wao walikuwa salama.