Niliishi kwa kuamini nina UKIMWI kwa zaidi ya miaka 9, asante MUNGU

Watoto wote kwa mama mmoja??
Kama ni hivyo safi sana [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hizo nyimbo unazotupanga kwamba ulikua unazipiga zote zimetoka 2003+hakuna wimbo wa 2000 hata mmoja hapo.ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
 
Ila we ni muongo ,zeze imetoka 2002 na hiyo nakupenda mpenz ya dudu baya ni 2003,na hiyo kikongwe ni 2003,na nyngine nying umedanganya zilitoka mbele
 
Hizo nyimbo unazotupanga kwamba ulikua unazipiga zote zimetoka 2003+hakuna wimbo wa 2000 hata mmoja hapo.ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Aisee nami ndo ilkua ki
Hizo nyimbo unazotupanga kwamba ulikua unazipiga zote zimetoka 2003+hakuna wimbo wa 2000 hata mmoja hapo.ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Umeona eeh kijana muongo huyu,mi mwnyw nimemaliza 2001 la Saba,lakin nakumbuka vizur disco letu nyimbo ilokua ikitrend ilikua ya hamis mwinjuma ,ile ya jaman baby ,nampenda kulikon wote , Sasa huyu kutudanganya mchana kweupe
 
Aisee nami ndo ilkua ki

Umeona eeh kijana muongo huyu,mi mwnyw nimemaliza 2001 la Saba,lakin nakumbuka vizur disco letu nyimbo ilokua ikitrend ilikua ya hamis mwinjuma ,ile ya jaman baby ,nampenda kulikon wote , Sasa huyu kutudanganya mchana kweupe
Enzi hizo kuna tunda ya Mwinjuma na kilio cha yatima, fadhila kwa wazazi ya Mchinga sound, jirani ya twanga....bongo fleva palikua na hardblasters na chemsha bongo yao
 
Ndiyo maana kwenye avatar yako una furaha sana, umecheza sana kitoko!

Lakini hili la kudinya mwanamke na kung'ang'ania kwenye kinena chake saa nzima bila kushuka, tena kwa penzi jipya la mara ya kwanza, hakuna mwanaume shujaa wa kitanda wa namna hiyo!

Umetulambisha uongo ambao hata Adamu baba wa mapenzi hakuweza kuufanya ama kuutenda!

Unaujua urefu wa saa nzima kwenye mambo hayo wewe?

Au naongelea impact za illusions zinazozalishwa kwenye game, ambazo ninyi mnaziita utamu?

Yaan dakika5 unahisi umepata furaha ya saa 5 mfululizo!

"Yee, bheibhe nang'hooo"!

Wacha nishangae kiKingwendu!
 
Asante story yako hii. Inafundisha mengi. Mshukuru sana Mungu wa mbinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…