Niliishi miaka kadhaa Dar kwa kukopesha watu pale Kariakoo kwa rejesho la asilimia kumi kwa siku

Niliishi miaka kadhaa Dar kwa kukopesha watu pale Kariakoo kwa rejesho la asilimia kumi kwa siku

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Wanasema mjini akili. Miaka kadhaa nilikuwa napambana kukuza mtaji kwa kukopesha watu kuanzia elfu ishirini mpaka elfu hamsini kwa marejesho ya kila siku.

Pale Kariakoo kuna watu hawana mtaji ila wanafahamu chimbo la bidhaa na wapi atauza. Walikuwa wanakuja na kuchukua hela halafu anarudisha na asilimia kumi kwa siku.

Elfu 20 inarudi elfu 22
Elfu 30 inarudi elfu 33
Elfu 40 inarudi elfu 44
Elfu 50 inarudi elfu 55

Kwa siku nilikuwa sikosi elfu 25 mpaka elfu 40 kwa mtaji wa laki nne.
 
Ungehalalisha hiyo biashara kwa kukata leseni ya Micro Finance halafu ukajikita na wateja wachache unaowafahamu kupunguza risk
 
Ungehalalisha hiyo biashara kwa kukata leseni ya Micro Finance halafu ukajikita na wateja wachache unaowafahamu kupunguza risk
Kuirasimisha kuna changamoto nyingi na faida isingeweza kuwa kubwa hivyo.

Hizo zilikuwa ni harakati za kukuza mtaji tu kipindi kile.
 
Namaanisha:

1. Humu kwenye jamii forum kuna dini zote na wengine hawana.
2. Wakristo wana tafsiri Biblia kwa mitazamo tofauti.

Si sawa kuweka Biblia kama a standard book kwa public. Labda unapokuwa kanisan kwako.
ubarikiwe sana mkuu
 
Back
Top Bottom