Nilijenga kwenye kiwanja cha mama mkwe,akachukua mkopo wakataka mie ndiye nilipe

Nina mashaka hata hao watoto sio wako naomba niishie hapa maana nkisema zaid ntalambwa ban na moderator
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Ulijenga kwenye kiwanja Cha mkwe?🀣🀣🀣 Sitaki kukulaumu sana sijui ulikua kwenye mazingira Gani, ukafanya hayo maamuzi,πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£ but naamini our champ alikufinyia kwenye 45degree huku anakuomba
..btw Shout out kwa our grand grand grandmom her excellency Delilah
 
Wewe kweli ni bwege ila nanusa hii ni chai ya maziwa
 
Si ndio wanaume mnaowataka hawa πŸ˜ƒ eti sema kweli Kapeace mazoba myapelekeshe
🀣🀣🀣 ukisikia mtu anasema kuwa mwanaume unaelewa nini? Sasa huyu hajui kuwa mwanaume
 
Hi wewe ni me kweli au upinde!!?

Samahani mkuu!!

Mama Yako alipata hasara sana!!

Labda kama umerogwa sawa!!!

Nimetamani nikupige bonge la kibao!!
 

Alieandika hii ni Jinsia gani wakuu..Nashindwa kuelewa😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…