Delilah alipambana mpk Sam kuingia line ila huyu hata hakufinyiwa ye alijitolea tu ili asifiwe na mamkwe,😂😂Ulijenga kwenye kiwanja Cha mkwe?🤣🤣🤣 Sitaki kukulaumu sana sijui ulikua kwenye mazingira Gani, ukafanya hayo maamuzi,🤣🤣😂🤣 but naamini our champ alikufinyia kwenye 45degree huku anakuomba
..btw Shout out kwa our grand grand grandmom her excellency Delilah
haha huyu ndio 'zombie haujui' mwenyewe anayetambulishwa na diamond kwenye intro🤣🤣🤣 ukisikia mtu anasema kuwa mwanaume unaelewa nini? Sasa huyu hajui kuwa mwanaume
Hadithi yako inatufundisha nini?Nilijenga kwenye kiwanja cha Mama mkwe, akaamua kuchukua mkopo kwa kutumia kiwanja hicho na wakataka mimi ndiyo nilipie!
Aliniambia tusijenge kwenye kiwanja changu kwa sababu ni mbali na mjini. Kwa kweli, niliona kama ni mbali, lakini akaniambia kuwa kuna kiwanja mama yake alimpa kama zawadi siku ya harusi yetu, hivyo tukibadilishe majina tukijenge. Sikuona zawadi hiyo ikitolewa rasmi, ila alinieleza kuwa mama yake alimpa kimya kimya. Kwa hiyo, niliongea na mama yake, naye akanithibitishia kuwa alipewa kweli.
Basi tukaanza mchakato wa kutafuta hati kwa ajili ya majina yetu. Yeye ndiye aliyekuwa anashughulikia kila kitu. Tulimaliza kila hatua, na mambo yalionekana kuwa sawa. Tukaanza ujenzi, nyumba ikakamilika na tukahamia. Lakini kila nilipomuuliza kuhusu hati ya nyumba, alinizungusha zungusha bila kunipa majibu ya kueleweka.
Siku moja nikiwa zangu nyumbani, nikashangaa kuona watu wakija kuangalia nyumba. Niliwauliza kulikoni, wakaniambia kuwa wao ni wafanyakazi wa benki flani na kwamba mwenye nyumba ametaka kuchukua mkopo. Nikamuita mke wangu, akaniambia, "Nilisahau kukuambia, mama alitaka kuchukua mkopo. Ujue kumbe mama alishachukua hati ya nyumba hii, na kwa sababu bado kule ardhi wanatusumbua kubadili majina, ameamua kuchukua mkopo ili afanye biashara na atalipa pole pole."
Nilishtuka, lakini sikujua nifanye nini kwa sababu nyumba haikuwa yangu rasmi. Nilimpigia simu mama mkwe, naye akaniambia, "Ina maana mwenzako hakukuambia? Basi mimi tayari nimeshajaza kila kitu. Kiwanja hiki ni changu, niliwapa tui la nachukulia mkopo nitalipa?” Alichukua mkopo ila alilipa marejesho matatu." Baada ya hapo, mke wangu akaniambia kuwa inabidi sisi tulipe mkopo huo kwa sababu mama amegoma kuendelea kulipa.
Nilijikuta sina kauli, na kwa kweli, niliona suluhisho pekee ni kaucha nyumba iuzwe ili kumaliza matatizo, kwelibenki waliipiga mnada wakachukua pesa yao. Sasa hivi tuko kwenye nyumba ya kupanga, tumeanza upya! Maisha yamekuwa magumu sana kwani nilikua na mikopo mingi, nimekata tamaa, na mke wangu kila siku ananidharau na kunipiga vijembe kuhusu ile nyumba kuuzwa. Sina amani kabisa, lakini tuna watoto, hivyo hata kumwacha siwezi.
MWISHO
Nilijenga kwenye kiwanja cha Mama mkwe, akaamua kuchukua mkopo kwa kutumia kiwanja hicho na wakataka mimi ndiyo nilipie!
Aliniambia tusijenge kwenye kiwanja changu kwa sababu ni mbali na mjini. Kwa kweli, niliona kama ni mbali, lakini akaniambia kuwa kuna kiwanja mama yake alimpa kama zawadi siku ya harusi yetu, hivyo tukibadilishe majina tukijenge. Sikuona zawadi hiyo ikitolewa rasmi, ila alinieleza kuwa mama yake alimpa kimya kimya. Kwa hiyo, niliongea na mama yake, naye akanithibitishia kuwa alipewa kweli.
Basi tukaanza mchakato wa kutafuta hati kwa ajili ya majina yetu. Yeye ndiye aliyekuwa anashughulikia kila kitu. Tulimaliza kila hatua, na mambo yalionekana kuwa sawa. Tukaanza ujenzi, nyumba ikakamilika na tukahamia. Lakini kila nilipomuuliza kuhusu hati ya nyumba, alinizungusha zungusha bila kunipa majibu ya kueleweka.
Siku moja nikiwa zangu nyumbani, nikashangaa kuona watu wakija kuangalia nyumba. Niliwauliza kulikoni, wakaniambia kuwa wao ni wafanyakazi wa benki flani na kwamba mwenye nyumba ametaka kuchukua mkopo. Nikamuita mke wangu, akaniambia, "Nilisahau kukuambia, mama alitaka kuchukua mkopo. Ujue kumbe mama alishachukua hati ya nyumba hii, na kwa sababu bado kule ardhi wanatusumbua kubadili majina, ameamua kuchukua mkopo ili afanye biashara na atalipa pole pole."
Nilishtuka, lakini sikujua nifanye nini kwa sababu nyumba haikuwa yangu rasmi. Nilimpigia simu mama mkwe, naye akaniambia, "Ina maana mwenzako hakukuambia? Basi mimi tayari nimeshajaza kila kitu. Kiwanja hiki ni changu, niliwapa tui la nachukulia mkopo nitalipa?” Alichukua mkopo ila alilipa marejesho matatu." Baada ya hapo, mke wangu akaniambia kuwa inabidi sisi tulipe mkopo huo kwa sababu mama amegoma kuendelea kulipa.
Nilijikuta sina kauli, na kwa kweli, niliona suluhisho pekee ni kaucha nyumba iuzwe ili kumaliza matatizo, kwelibenki waliipiga mnada wakachukua pesa yao. Sasa hivi tuko kwenye nyumba ya kupanga, tumeanza upya! Maisha yamekuwa magumu sana kwani nilikua na mikopo mingi, nimekata tamaa, na mke wangu kila siku ananidharau na kunipiga vijembe kuhusu ile nyumba kuuzwa. Sina amani kabisa, lakini tuna watoto, hivyo hata kumwacha siwezi.
MWISHO
Ha ha ha umenikumbusha marehemu baba yangu lazima ukifanya ujinga atakwambia blood hell, https://jamii.app/JFUserGuide of. , Mavi wewe, ha ha ha reast easy dada you taught us to be men and judge things as real man, kweli kujenga ukweni ni kichaa cha aina gani hikiBlad hell.....☹️
Mshkaji aweza kuwa anachangamsha jukwaa. Ila miaka 5 nyuma nimeshakutana na kisa cha namna hii.Chai haina tangawizi ya kutosha
Kweri we ulirogwaNilijenga kwenye kiwanja cha Mama mkwe, akaamua kuchukua mkopo kwa kutumia kiwanja hicho na wakataka mimi ndiyo nilipie!
Aliniambia tusijenge kwenye kiwanja changu kwa sababu ni mbali na mjini. Kwa kweli, niliona kama ni mbali, lakini akaniambia kuwa kuna kiwanja mama yake alimpa kama zawadi siku ya harusi yetu, hivyo tukibadilishe majina tukijenge. Sikuona zawadi hiyo ikitolewa rasmi, ila alinieleza kuwa mama yake alimpa kimya kimya. Kwa hiyo, niliongea na mama yake, naye akanithibitishia kuwa alipewa kweli.
Basi tukaanza mchakato wa kutafuta hati kwa ajili ya majina yetu. Yeye ndiye aliyekuwa anashughulikia kila kitu. Tulimaliza kila hatua, na mambo yalionekana kuwa sawa. Tukaanza ujenzi, nyumba ikakamilika na tukahamia. Lakini kila nilipomuuliza kuhusu hati ya nyumba, alinizungusha zungusha bila kunipa majibu ya kueleweka.
Siku moja nikiwa zangu nyumbani, nikashangaa kuona watu wakija kuangalia nyumba. Niliwauliza kulikoni, wakaniambia kuwa wao ni wafanyakazi wa benki flani na kwamba mwenye nyumba ametaka kuchukua mkopo. Nikamuita mke wangu, akaniambia, "Nilisahau kukuambia, mama alitaka kuchukua mkopo. Ujue kumbe mama alishachukua hati ya nyumba hii, na kwa sababu bado kule ardhi wanatusumbua kubadili majina, ameamua kuchukua mkopo ili afanye biashara na atalipa pole pole."
Nilishtuka, lakini sikujua nifanye nini kwa sababu nyumba haikuwa yangu rasmi. Nilimpigia simu mama mkwe, naye akaniambia, "Ina maana mwenzako hakukuambia? Basi mimi tayari nimeshajaza kila kitu. Kiwanja hiki ni changu, niliwapa tui la nachukulia mkopo nitalipa?” Alichukua mkopo ila alilipa marejesho matatu." Baada ya hapo, mke wangu akaniambia kuwa inabidi sisi tulipe mkopo huo kwa sababu mama amegoma kuendelea kulipa.
Nilijikuta sina kauli, na kwa kweli, niliona suluhisho pekee ni kaucha nyumba iuzwe ili kumaliza matatizo, kwelibenki waliipiga mnada wakachukua pesa yao. Sasa hivi tuko kwenye nyumba ya kupanga, tumeanza upya! Maisha yamekuwa magumu sana kwani nilikua na mikopo mingi, nimekata tamaa, na mke wangu kila siku ananidharau na kunipiga vijembe kuhusu ile nyumba kuuzwa. Sina amani kabisa, lakini tuna watoto, hivyo hata kumwacha siwezi.
MWISHO
Hii sii SGR tu, ni zile MAGLEV za china kabisa. Zinazoelea kwenye reli.Mwanaume kujenga ukweni ni ujinga wa kiwango Cha standard gauge(sgr)
Mi navunja nawaachia kifusi wazoe.Mshkaji aweza kuwa anachangamsha jukwaa. Ila miaka 5 nyuma nimeshakutana na kisa cha namna hii.
Jamaa alioa halafu akaamua kutumia kiwanja cha familia ya mke wake kujenga nyumba yao (yake na mkewe) ya kuishi.
Wakakaa pamoja miaka kadhaa, halafu ndoa ikaanza kuyumba kiasi cha kufikia kuamua kuachana. Jamaa akawa hana haki na ile nyumba hata kidogo. Ikabidi iwaachie familia ya mke.
Ubayaaa ubwelaaaa hiiNilijenga kwenye kiwanja cha Mama mkwe, akaamua kuchukua mkopo kwa kutumia kiwanja hicho na wakataka mimi ndiyo nilipie!
Aliniambia tusijenge kwenye kiwanja changu kwa sababu ni mbali na mjini. Kwa kweli, niliona kama ni mbali, lakini akaniambia kuwa kuna kiwanja mama yake alimpa kama zawadi siku ya harusi yetu, hivyo tukibadilishe majina tukijenge. Sikuona zawadi hiyo ikitolewa rasmi, ila alinieleza kuwa mama yake alimpa kimya kimya. Kwa hiyo, niliongea na mama yake, naye akanithibitishia kuwa alipewa kweli.
Basi tukaanza mchakato wa kutafuta hati kwa ajili ya majina yetu. Yeye ndiye aliyekuwa anashughulikia kila kitu. Tulimaliza kila hatua, na mambo yalionekana kuwa sawa. Tukaanza ujenzi, nyumba ikakamilika na tukahamia. Lakini kila nilipomuuliza kuhusu hati ya nyumba, alinizungusha zungusha bila kunipa majibu ya kueleweka.
Siku moja nikiwa zangu nyumbani, nikashangaa kuona watu wakija kuangalia nyumba. Niliwauliza kulikoni, wakaniambia kuwa wao ni wafanyakazi wa benki flani na kwamba mwenye nyumba ametaka kuchukua mkopo. Nikamuita mke wangu, akaniambia, "Nilisahau kukuambia, mama alitaka kuchukua mkopo. Ujue kumbe mama alishachukua hati ya nyumba hii, na kwa sababu bado kule ardhi wanatusumbua kubadili majina, ameamua kuchukua mkopo ili afanye biashara na atalipa pole pole."
Nilishtuka, lakini sikujua nifanye nini kwa sababu nyumba haikuwa yangu rasmi. Nilimpigia simu mama mkwe, naye akaniambia, "Ina maana mwenzako hakukuambia? Basi mimi tayari nimeshajaza kila kitu. Kiwanja hiki ni changu, niliwapa tui la nachukulia mkopo nitalipa?” Alichukua mkopo ila alilipa marejesho matatu." Baada ya hapo, mke wangu akaniambia kuwa inabidi sisi tulipe mkopo huo kwa sababu mama amegoma kuendelea kulipa.
Nilijikuta sina kauli, na kwa kweli, niliona suluhisho pekee ni kaucha nyumba iuzwe ili kumaliza matatizo, kwelibenki waliipiga mnada wakachukua pesa yao. Sasa hivi tuko kwenye nyumba ya kupanga, tumeanza upya! Maisha yamekuwa magumu sana kwani nilikua na mikopo mingi, nimekata tamaa, na mke wangu kila siku ananidharau na kunipiga vijembe kuhusu ile nyumba kuuzwa. Sina amani kabisa, lakini tuna watoto, hivyo hata kumwacha siwezi.
MWISHO
Pole , wewe ulikuwa kama kondoo aliyezungukwa na mbwa mwitu wenye njaa kali ambao ni mkeo na mama yake.Nilijenga kwenye kiwanja cha Mama mkwe, akaamua kuchukua mkopo kwa kutumia kiwanja hicho na wakataka mimi ndiyo nilipie!
Aliniambia tusijenge kwenye kiwanja changu kwa sababu ni mbali na mjini. Kwa kweli, niliona kama ni mbali, lakini akaniambia kuwa kuna kiwanja mama yake alimpa kama zawadi siku ya harusi yetu, hivyo tukibadilishe majina tukijenge. Sikuona zawadi hiyo ikitolewa rasmi, ila alinieleza kuwa mama yake alimpa kimya kimya. Kwa hiyo, niliongea na mama yake, naye akanithibitishia kuwa alipewa kweli.
Basi tukaanza mchakato wa kutafuta hati kwa ajili ya majina yetu. Yeye ndiye aliyekuwa anashughulikia kila kitu. Tulimaliza kila hatua, na mambo yalionekana kuwa sawa. Tukaanza ujenzi, nyumba ikakamilika na tukahamia. Lakini kila nilipomuuliza kuhusu hati ya nyumba, alinizungusha zungusha bila kunipa majibu ya kueleweka.
Siku moja nikiwa zangu nyumbani, nikashangaa kuona watu wakija kuangalia nyumba. Niliwauliza kulikoni, wakaniambia kuwa wao ni wafanyakazi wa benki flani na kwamba mwenye nyumba ametaka kuchukua mkopo. Nikamuita mke wangu, akaniambia, "Nilisahau kukuambia, mama alitaka kuchukua mkopo. Ujue kumbe mama alishachukua hati ya nyumba hii, na kwa sababu bado kule ardhi wanatusumbua kubadili majina, ameamua kuchukua mkopo ili afanye biashara na atalipa pole pole."
Nilishtuka, lakini sikujua nifanye nini kwa sababu nyumba haikuwa yangu rasmi. Nilimpigia simu mama mkwe, naye akaniambia, "Ina maana mwenzako hakukuambia? Basi mimi tayari nimeshajaza kila kitu. Kiwanja hiki ni changu, niliwapa tui la nachukulia mkopo nitalipa?” Alichukua mkopo ila alilipa marejesho matatu." Baada ya hapo, mke wangu akaniambia kuwa inabidi sisi tulipe mkopo huo kwa sababu mama amegoma kuendelea kulipa.
Nilijikuta sina kauli, na kwa kweli, niliona suluhisho pekee ni kaucha nyumba iuzwe ili kumaliza matatizo, kwelibenki waliipiga mnada wakachukua pesa yao. Sasa hivi tuko kwenye nyumba ya kupanga, tumeanza upya! Maisha yamekuwa magumu sana kwani nilikua na mikopo mingi, nimekata tamaa, na mke wangu kila siku ananidharau na kunipiga vijembe kuhusu ile nyumba kuuzwa. Sina amani kabisa, lakini tuna watoto, hivyo hata kumwacha siwezi.
MWISHO