Nilijenga kwenye kiwanja cha mama mkwe,akachukua mkopo wakataka mie ndiye nilipe

sijamaliza kusoma yote mwanzo tu nimeona wewe ni kenge
 
Aisee, pole sana. Mungu akutie nguvu. Mimi nilijifunza siku nyingi cha mtu mavi, hata kiwe cha wazazi wako. Mkeo amelifanyia uhuni sana sana, sijui kwanini anakusimanga tena wakati kosa lake hakuwa mkweli? Hana utu hata kidogo
 
Mimi naona umetumia busara sana kuacha nyumba iuzwe, bado ingelipa deni ungesumbuliwa tu.

Bado naona pia umetumia busara kubaki na mkeo ili kutunza watoto.

Watoto wasipate shida kwasababu ya utapeli wa mama yao.

Endelea kupambana, mikopo itaisha utajipanga upya ujenge. Ila don't trust mkeo tena na usimruhusu akudharau kwa utapeli wake. Siku akikudharau mpe makofi ya maana au mwambie tu kile alichoona na kwanini umeamua kufanya vile...asikuone mjinga wakati umetumia busara sana.

Jifunze kutomwamini mtu mambo yako fanya mwenyewe uone kwa macho. Usiamini hata wazazi wako.

Usisikilize utopolo wa watz humu wanavokutakutana they are foolish and you are wise. Fanya vile moyo wako uliamua wala hukukosea.
 
Kumbe ukiwa na kiwanja tu, unaweza kupewa mkopo.
Kapeace hii kitu unaijua ?
 
Dalili ya chai huwa mtu anapost na kupotea.....

Ila kama ni kweli mkwe na mkeo wana roho mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…