kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Kwani wewe ulikuwa wapi siku zote, mbona tangu mwanzo wa sakata ilikuwa aanahusishwa na Azam? Acha aende akale misosi kwanza, akijaa jaa mwili atakuja SimbaKelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a
Aahhaaaaaa,nasikia Azam pale ni kuzuga tu next year anakuja unyamaniKelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a
Simba
Guvu moya
Mkuu tulia basi,usiwasanue watuOya zile hela tulizochangishana makolo ili Fei aende CAS itakuwaje sasa? Mtonyo utarudi?😀
Hizo ziende tu, lengo limeshatimia kwa hisani ya mwaliko wa Ikulu wa Mama Samia 😁Oya zile hela tulizochangishana makolo ili Fei aende CAS itakuwaje sasa? Mtonyo utarudi?😀
Mchangishane,mnunue[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kanjubai ni bahili mnoo
NywanokoKikubwa mmelouwaaa
Wote tulikuwa tunajua aenda azam from very beginning! Labda wewe ndio ulikuwa hujui.Kelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a
Simba
Guvu moya
Ww ni utopoloKelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a
Simba
Guvu moya
simba hawawezi kumlioa fei broKelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a
Simba
Guvu moya
Kati ya zile M9,wewe ulichangia ngapi?Oya zile hela tulizochangishana makolo ili Fei aende CAS itakuwaje sasa? Mtonyo utarudi?[emoji3]