Nilijua anakuja kwetu Simba kweli sisi ni mambumbumbu

Nilijua anakuja kwetu Simba kweli sisi ni mambumbumbu

Huyu dogo kama kweli anakuja chamazi basi mwisho wake umefika
Acha mwisho wake ufike lakini pesa ale... We Huna mwisho Kwani? Ligi ya bongo mapenzi tupa kule.. yanga na Simba zimeua ndoto na Maisha ya wachezaji wengi Sana Kwa kuendekeza unazi... Ni muda wa pesa. Kule Azam anakula 20+m, Bado bonus+pesa ya usajili ci chin ya 300m, Bado anapewa nyumba yenye hadhi kubwaa masaki au osterbay... Bado ndugu Zake wanakula shavu Kwa Azam kampani... Muache dogo aisee
 
Kelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a

Simba
Guvu moya
Mkuu MBUMBUMBU kweli kweli mkuu namimi nikiwemo na viongozi wangu kwa ukaribu. simba haijui na haijitambui
 
Mliipakazia sana Simba kuwa ndiyo ilikuwa inamrubuni sasa ukweli umejulikana nani alimpa hizo 112 alizolipa Yanga. Ila suala la.mhandisi kumbashia huyu dogo lilichangia sana kuondoka kwake.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a

Simba
Guvu moya
Ngoja wenzako waje wakuambie wewe ni mshabiki wa Yanga. Nyinyi msimu ujao mtaendelea na wachezaji wenu mlio watoa kwa mkopo akina Victor Akpan na Nelson Okwah.
 
Kwani na zile walizochangishwa kwa ajili ya kujenga uwanja, unafahamu zilipo! Bilioni 20 zenyewe tu mpaka leo wanapigwa tu sound!!

Rage ajengewe mnara mapema aisee!! Maana siyo kwa kushadadia kule! [emoji2]
Rage ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja kwa jinsi anavyowapelekea moto
 
Huyu dogo kama kweli anakuja chamazi basi mwisho wake umefika
Bora aende Chamazi, akija kwa akina Abiola cup shughuri itakuwa imeisha kabisaa na ipo mifano halisia sitaki kuitaja.
 
Kelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a

Simba
Guvu moya
Ulijua?Nani alikujuza?Basi kichwa yako na boga(mnaliremba kwa kuliita tikiti au water-melon)hakuna tofauti.
 

Attachments

  • JamiiForums1345903959.jpg
    JamiiForums1345903959.jpg
    12.8 KB · Views: 2
Rage ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja kwa jinsi anavyowapelekea moto
 
Kelele zote zile kumbe haji kwetu kaenda Azam! Kweli sisi simba ni mambumbumbu, kwa namna tulivyokuwa tumeshupaza shingo nikajua Mwamedi kavunja kibubu kumbe hola. Nimeumia sana sisi kuonesha jinsi tulivyo mipang'ang'a

Simba
Guvu moya
Pole sana ndugu mabahili.kanjibah chupke chupke
 
Back
Top Bottom