Nilijua nimeshatoka...

Nilijua nimeshatoka...

Lazima akubanie unajifanya ccm damu kumbe ww ndo ndo unarudisha maendeleo nyuma na ccm yako
 
Kwa Uandikaji Thread namna Hiyo Kazi lazima ukose.
 
Nakupa pole, mara nyingi sisi wabongo kiingereza hatujui ila utakuta tunataka kufanya mambo yawe magumu.. Kwa mfano unaenda kwenye interview unakuta wote ni waswahili na kazi unayoomba haihitaji saaana umahiri wa kuongea kiinglish eti unatafanyiwa itaview ya kimombo huu mimi nianaona ni ulimbukeni na ni kuendeleza tamaduni za kikoloni
 
Ila kweli, ni tatizo letu waswahili kuprove tunajua kiingereza au lugha zingine za watu kwa kutumia misamiati. Ndipo hapo ubapojiuliza lengo la lugha hasa ni nini?

Nimefindishwa na wazungu na kufanya nao kazi, wanatumia lugha rahisi sana! Jana nilikuwa namsikiliza Hilary Clinton, lugha yake hadi raha.

Ngoja aje Kiranga na wenzake hadi kero!

Nakubali lugha ni ktu muhimu sana katika kufanikisha mambo, lakini ni aina gani ya lugha inayotumika hilo ndiyo tatizo hapo, hua imekua kasumba kwa watanzania walio wengi walio kwenye kanafasi fulani haaasaaa wanakaa karibu na wahusika wa lugha hyo kuonyesha kua waiweza hyo lugha kwa wenzao kwenye kipindi cha usahili wanasahau dhana nzima ya usahili. Kutumia lugha ya kamusi kwenye usahili si vizuri kama lengo nikupata mtendaji mzuri. Hili jambo nimeliona hasa kwenye office ambazo nimefaniwa kufanya kazi, wako wageni wangi ma ofisini si watendaji wazuri kama wa wakitanzania ila kwasababu tu wanjua hiyo lugha wanaonekana wanafaa. Me naamini lugha ni mazingira na nirahisi kuifahamu ukiwa kwenye mazingira hayo ila kama unataka kuijua hapo utahitaji kwenda darasani upate cheti!
 
Back
Top Bottom