Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

Nashukuru mkuu.....lakini kwny suala la mkoa tena dah...!!

Kuna mikoa haka kamchezo wanakapenda balaa kama Tanga unapewa hata kama hujaomba ukimaliza ndio unajua njia uliongilia siyo uliyotokea daaamn.....
 
Wenzio wanataman wakutane na mikasa kama yako ya kuzawadiwa kidali wewe unaikimbia!!?

Tunatofautiana mioyo, akili na matendo ndo maana wengine hiyo mikuundu wanaitafuta kwa udi na uvumba hadi wanahonga magari
 
sio ishu gudi huo mchezo madhara yake mwisho nimakubwa jaribu kumuelesha matatizo atakayo kumbana nayo baadae huenda akakuelewa
 
Siamini kama uyu ni gentamycine pia mbaka miandiko yao iko differ kabisa
Tulia wewe humjui popoma,ni mjanja kuliko unavyofikiri wewe.
Hapa kaamua kubadili mwandiko kupitia ID hii,lakini ukisoma between lines utamjua tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…