Nilikua namsapoti Trump na Elon lakini kwa wachina naona bado hajapata funzo kwa walichofanya Huawei kipindi kile

Nilikua namsapoti Trump na Elon lakini kwa wachina naona bado hajapata funzo kwa walichofanya Huawei kipindi kile

Hii point number 2 ni mhim sana influnce ya usa ni pamoja na kuongeza mzunguko wa dollar yake dunian kupitia misaada sasa naona anajikata miguu mwenyewe
Wachache sana watakuelewa.

Kuna jamaa hapo juu wanabwabwaja tu
 
Unaanza vituko? Kwamba wewe ndiyo umeona kitendo cha Trump kuingia kwa nguvu ya watu amekosa washauri? Kwamba Trump na Elon na timu yao hawana washauri?

Leftwingers mna shida kubwa sana mahali. Ulitaka Trump aendelee kumuangalii tu China anavyotengeneza hizo sumu za Fentanly na kuziingiza Marekani kupitia Mexico na Canada kwenda kuua watu US?

USAID iendelee kuwa chaka la kupiga hela,? Huku misaada kupitia shirika hilo ikitumika kinyume na American policy huku ikiigombanisha US na host countries?
Mtu mweusi hałasu foreigner eti ana support Trump, maajabu makubwa sana 👏😂😂
 
Mtu mweusi hałasu foreigner eti ana support Trump, maajabu makubwa sana 👏😂😂
Kumeona mtu mwesihastahili kuwa na akili ndiyo maana hatakiwi kum support Trump? Nyie endelee kufuata mdundiko unapoelekea
 
Trump kuna sehemu anakosea.

Unajua Trump marekanj ameingia kwa nguvu ya watu, na sio wale 'King makers' na hio inafanya asipate ushauri wa watu ambao wanajua miondoko ya dunia humo USA miaka nenda na narudi. Hio inafanya jamaa afanye makosa mengi sana na kuscore 'own goals' nyingi

1)Issue ya kuongeza 10% tarrif kwa bidhaa za china anasahau mchina ukimbana kwenye crosshair basi anatoka kivingine kabisa. Hilo tuliiona kwa Huawei, baada ya sactions tulidhan huawei itakufa ila maajabu wanayoyafanya sasa Apple na Samsung wanasubiri. Na kwenye Tarif pia China wamejibu kwa kuongeza nao Tarrifs, ikumbukwe kati ya masoko makubwa ya EV duniani hasa EV za Tesla ni China. That means kwa hio move magari ya Tesla hayatouzika zsana china sabb price itakua juu ili kucover hizo tarrif, hapo trump na elon wamescore 'own goal'

2)Issue ya USAID.
Hapa ndo kavurunda kabisa, Influence na power ya marekani imejengwa sana na misaada yao. Mfano, nchi yyt kutoka africa ilikua ikikataa agenda za USA basi wangetumia tu kitisho cha 'tunastop misaada' hapohapo hio nchi ingerudi kwenye line. Ila kwa sasa kavunja hilo, ni bonge moja la 'own goal' tena uwanja wa nyumbani. Lakini hio inawapa mwanya China na Urusi kukuza influence zao Africa.

Ningeandika mengi ila tayari naona Trump hii awamu kachemsha, awamu inayofuata chama chake kisahau kabisa kushinda, na nadhan watafail kwa record loss sabab US kila kona wanamsagia sumu
Mmmmmmh kwamba Samsung na iPhone wakajiule kwa Huawei kwelii???
 
Pamoja na kuwapeni hizo 'rushwa', kuna wakati wowote mliwahi kumuunga mkino hata kule UN?
We umewahi kuona Rais wa Tz anakenua mdomo kulaani mauaji ya Palestina hadharani zaidi ya kuongea vichochoroni? Sababu kubwa ni kuogopa kunyimwa ‘misaada’,
 
Hujui kwamba hizo pesa sio misaada bali ni rushwa ku kuinfluence agenda zao kimataifa?
Trump hahitaji hizo influence,,Watanzania chukueni hyo nafasi ya kutoa misaada duniani ili na nyie mu influence ajenda zenu duniani mkuu.
 
Trump kuna sehemu anakosea.

Unajua Trump Marekani ameingia kwa nguvu ya watu, na sio wale 'King makers' na hio inafanya asipate ushauri wa watu ambao wanajua miondoko ya dunia humo USA miaka nenda na narudi. Hio inafanya jamaa afanye makosa mengi sana na kuscore 'own goals' nyingi

1)Issue ya kuongeza 10% tarrif kwa bidhaa za China anasahau Mchina ukimbana kwenye crosshair basi anatoka kivingine kabisa. Hilo tuliiona kwa Huawei, baada ya sactions tulidhan huawei itakufa ila maajabu wanayoyafanya sasa Apple na Samsung wanasubiri. Na kwenye Tarif pia China wamejibu kwa kuongeza nao Tarrifs, ikumbukwe kati ya masoko makubwa ya EV duniani hasa EV za Tesla ni China. That means kwa hio move magari ya Tesla hayatouzika zsana china sabb price itakua juu ili kucover hizo tarrif, hapo trump na elon wamescore 'own goal'

2)Issue ya USAID.
Hapa ndo kavurunda kabisa, Influence na power ya marekani imejengwa sana na misaada yao. Mfano, nchi yoyote kutoka Africa ilikua ikikataa agenda za USA basi wangetumia tu kitisho cha 'tunastop misaada' hapohapo hio nchi ingerudi kwenye line. Ila kwa sasa kavunja hilo, ni bonge moja la 'own goal' tena uwanja wa nyumbani. Lakini hio inawapa mwanya China na Urusi kukuza influence zao Africa.

Ningeandika mengi ila tayari naona Trump hii awamu kachemsha, awamu inayofuata chama chake kisahau kabisa kushinda, na nadhan watafail kwa record loss sabab US kila kona wanamsagia sumu
chama chake ndiyo kinazidi kuwa na nguvu zaidi kwanii wazungu wanafurahia kutokuwepo wahamiaji haramu
 
Trump kuna sehemu anakosea.

Unajua Trump Marekani ameingia kwa nguvu ya watu, na sio wale 'King makers' na hio inafanya asipate ushauri wa watu ambao wanajua miondoko ya dunia humo USA miaka nenda na narudi. Hio inafanya jamaa afanye makosa mengi sana na kuscore 'own goals' nyingi

1)Issue ya kuongeza 10% tarrif kwa bidhaa za China anasahau Mchina ukimbana kwenye crosshair basi anatoka kivingine kabisa. Hilo tuliiona kwa Huawei, baada ya sactions tulidhan huawei itakufa ila maajabu wanayoyafanya sasa Apple na Samsung wanasubiri. Na kwenye Tarif pia China wamejibu kwa kuongeza nao Tarrifs, ikumbukwe kati ya masoko makubwa ya EV duniani hasa EV za Tesla ni China. That means kwa hio move magari ya Tesla hayatouzika zsana china sabb price itakua juu ili kucover hizo tarrif, hapo trump na elon wamescore 'own goal'

2)Issue ya USAID.
Hapa ndo kavurunda kabisa, Influence na power ya marekani imejengwa sana na misaada yao. Mfano, nchi yoyote kutoka Africa ilikua ikikataa agenda za USA basi wangetumia tu kitisho cha 'tunastop misaada' hapohapo hio nchi ingerudi kwenye line. Ila kwa sasa kavunja hilo, ni bonge moja la 'own goal' tena uwanja wa nyumbani. Lakini hio inawapa mwanya China na Urusi kukuza influence zao Africa.

Ningeandika mengi ila tayari naona Trump hii awamu kachemsha, awamu inayofuata chama chake kisahau kabisa kushinda, na nadhan watafail kwa record loss sabab US kila kona wanamsagia sumu
Hivi kweli unaisifia huawei kweli?hyo simu anatumia nani, huawei ishajisifai
 
Ningeandika mengi ila tayari naona Trump hii awamu kachemsha, awamu inayofuata chama chake kisahau kabisa kushinda, na nadhan watafail kwa record loss sabab US kila kona wanamsagia sumu
Trump akachukue ushauri kwa Kanye West hao akina Jeff, Zuckerberg, na Elon Musk wanamtumbukiza shimoni kabisa uchaguzi huu ndio mwisho chama chake kushinda hawatokuja washinde chaguzi tena Trump kawaharibia vibaya vibaya
 
Ulikuwa unafanya kazi shirika gani? Pole sana karibu mtaani na kumbuka usije kutumia akiba vibaya
 
Unaanza vituko? Kwamba wewe ndiyo umeona kitendo cha Trump kuingia kwa nguvu ya watu amekosa washauri? Kwamba Trump na Elon na timu yao hawana washauri?

Leftwingers mna shida kubwa sana mahali. Ulitaka Trump aendelee kumuangalii tu China anavyotengeneza hizo sumu za Fentanly na kuziingiza Marekani kupitia Mexico na Canada kwenda kuua watu US?

USAID iendelee kuwa chaka la kupiga hela,? Huku misaada kupitia shirika hilo ikitumika kinyume na American policy huku ikiigombanisha US na host countries?
Na unaambiwa fentanly is much higher than coke
 
Unaanza vituko? Kwamba wewe ndiyo umeona kitendo cha Trump kuingia kwa nguvu ya watu amekosa washauri? Kwamba Trump na Elon na timu yao hawana washauri?

Leftwingers mna shida kubwa sana mahali. Ulitaka Trump aendelee kumuangalii tu China anavyotengeneza hizo sumu za Fentanly na kuziingiza Marekani kupitia Mexico na Canada kwenda kuua watu US?

USAID iendelee kuwa chaka la kupiga hela,? Huku misaada kupitia shirika hilo ikitumika kinyume na American policy huku ikiigombanisha US na host countries?
Umeandika kwa uchungu sanaa unatokea Virginia au huku huku Namtumbo?
 
kwa hiyo wewe unamzidi ufahamu Elon Musk na timu ya washauri wake wote kwamba hawakuangakia mbele nini kitatokea!!!!!?

huna unachokijua juu ya mkakati wa hawa miamba nadhani hata kipindi cha kampeni ulidhani Trump atapigwa chini kwenye uchaguzi

hao ni akili kubwa
Akili kubwa sana tena sanaa kama ya Papa Francis...
 
Back
Top Bottom