Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Ukute anaomba afumaniwe apigwe had asitamanike๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ "๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—บ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฒ" ๐—ต๐˜‚๐˜†๐˜‚ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐˜‚๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—น๐—ฒ๐—ผ, ๐˜๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—œ๐—” ๐—ธ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ผ.
 
Kilio chaja chief umewahi kujiuliza ikitokea wewe na yeye mkawa mbali kwa mda wa mwezi mmoja tu nini kitatokea
Alafu kwa sasa ndiyo utalia kama mbwa koko sasa
 
Marriage is not for everyone.[emoji3577]
 
Alfa
Bravo
Charlie
We need a backup...we are under heavy fire do you copy?
I repeat
Do you copy?
Over and out
Alfa
Bravo
Charlie
Tunahitaji msaada...tupo chini ya moto mzito umepiga nakala?
Ninarudia
Umepiga nakala?
Juu na nje
 
Ukipata pesa ndo mzuka wa kukiwasha unaongezeka, ngoja uishiwe Hela ya kula na bado uwe na madeni ya kodi etc, uone kama utapiga shoo ya maana.
 
Kama huna Hela, halafu haikupi stress, it means akili Yako imejikubali kuwa masikini, basi hapo utakuwa na matatizo makubwa sana ya kiakili.
 
Kwa machungu makubwa

We jamaa unajua uchungu wa umeacha wanapika wali unafunua hotpot unakuta ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ