Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi kama vile mapenzi huanza basi pia hufa.

Matumizi mabaya ya Tundu
Ukaona bora ulambe kama kupenya huwezi
Anyways, ni ngumu sana kupenya kwenye tundu la sindano Yesu pia alisema.
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea leo kwakuwa nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo, nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi nikawa napenda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi kama vile mapenzi huanza basi pia hufa.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini, nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nini!
Mkuu bora umesema maana sisi wengine bado tunajitia ushujaa kung'ang'ania ndoa zinazodhulumu mpaka afya zetu.
 
NMB inaendelea na zoezi la kuboresha taarifa za wateja wetu wanaofika matawini kwa ajili ya huduma mbalimbali. Unahitaji kuwa na kitambulisho au namba ya NIDA.
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea leo kwakuwa nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo, nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi nikawa napenda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi kama vile mapenzi huanza basi pia hufa.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini, nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nini!
Siku zote usitumie muda wako mwingi, pesa na mali kumfurahisha mwanamke wala kumpenda sana lazima atakupiga na kitu kizito.
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea leo kwakuwa nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo, nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi nikawa napenda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi kama vile mapenzi huanza basi pia hufa.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini, nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nini!


Keshapigwa tukio!
 
Kwani wanaambiwa basi unajikuta imo tu mdomoni wewe ndio unafabya utundu ku suprise my wako😂😂
Hiki ni mojawapo wa chanzo cha ndoa kufa kwasababu chumbani panakuwa ni sehemu ya danguro.
Tendo linatakiwa lifanywe kwa kiasi na pia ustaha siyo kunyonyana sehemu za siri, sijui kwa mpalange mwisho wa siku mnabeba roho chafu za uharibifu hata kutoka nje ya ndoa unaona kawaida ndiyo yaliyomkuta huyo jamaa na mkewe
 
Hiki ni mojawapo wa chanzo cha ndoa kufa kwasababu chumbani panakuwa ni sehemu ya danguro.
Tendo linatakiwa lifanywe kwa kiasi na pia ustaha siyo kunyonyana sehemu za siri, sijui kwa mpalange mwisho wa siku mnabeba roho chafu za uharibifu hata kutoka nje ya ndoa unaona kawaida ndiyo yaliyomkuta huyo jamaa na mkewe
Umesema kweli
 
Back
Top Bottom