Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe
Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.
3560fe36d49338222000468788b0039a.jpg
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe
Mshenzi mkubwa wewe[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe
Mshenzi mkubwa wewe[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe
Mwenyezi Mungu akujaalie utulivu wa nafsi na moyo wako uliopondeka 🐒

Mshukuru Mungu sana maana amekutoa mapema sana kwenye mateso ambayo yangekutesa zaidi baadae na pengine usinge ya mudu..

Nakutakia kila la kheri unapoelekea upande mwingine wa maisha, kadiri ya muongozo wa Mwenyezi Mungu...

usikate tamaa, maisha lazima ya songe na changamoto ni sehemu kidogo tu ya maisha yenyewe 🐒
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe

Umefeli , showering women with admiration itakufanya uonekane weak, simp.
Thats what happened , now jijenge dont you ever repeat that again
 
Back
Top Bottom