Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe
Pole mkuu, ila uandishi wako wa kistarabu japo kuba matusi
 
Jan kupenda kusikieni tu. Kuna muda unaweza kuwa nduli kinoma unawachapa unawaacha, ila ukija kunasa ukapenda pamoja na unduli wako utatulizwa.

Pamoja na unduli wangu wa kuto wajali wadada, tabia yangu ya kutupa ndoano mara moja akimeza fresh akitema fresh nk, nila najiona kabisa naelekea kunasa kwa kabinti haka. Ngoja nkapambanie nione kama katajaa.
 
Nyie mnajua mbona nimekuwa mtumwa wa umarioo? Nilitendwa mara kadhaa na hawa vibinti vidogo vidogo mpaka suruali zangu zote zilikuwa zinanipwaya!!! Sikuhizi nkikaribia kukutana nao nasepa kisa wananipa kichefuchefu mno!!! Lakini Mungu ni mwema niliangukia mumama ana pepo ya upwiru baada ya lisaa ana ugwadu, poleni makapera na wajane..........naenjoy sasaiv natizama televisheni ananipikia kitimoto ikifika usiku ni chombezo
kumbe wewe mdangaji wa kiume wewe
 
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.

Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.

Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.

Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.

Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.

Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.

Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekossababu ya kubaki.

Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?

Mshenzi mkubwa wewe
Dah! Tayari mwamba kaumizwa huku! 🙁
 
Acha nikushobokee
ndo ukereke
nimepata mumama
mwenye tukunyema

Tena mchokoleti ka maua sama
mwana mtindo ka sepetu wema
mpole ka fahima
na ananitunza vyema


Na hii hali ngumu ya uchumi
hao masela wakilia njaa na vumbi
me nalelewa sisumbuki
kila siku nala mishikaki

Napendwa kila kitu nagharimiwa
mpaka chupi nanunuliwa
na nkitaka kuenda bafuni nabebwa
naogeshwa mpaka vuzi nanyolewa

umarioo raha aaah
siku zote nina furaha aaah
kama si umarioo
leo nisingekuwa bishoo

hata ukinisimanga
hata ukiniita kitonga
hata ukinionea gere
siachi udezodezo vya bwerere

hata ukiniita gigolo
bado akiniita faraghani namfollow
me ndo dawake ya ukware
na baadaye ananipa hela si mpare
umarioooo tam
 
Back
Top Bottom