Mtumwa wa Umarioo
Member
- Feb 17, 2024
- 27
- 43
Umarioo raha ila tu ukimakinika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu, ila uandishi wako wa kistarabu japo kuba matusi(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.
Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.
Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.
Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.
Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.
Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.
Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.
Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?
Mshenzi mkubwa wewe
Hata ukiletewa video live anatobolewa Jicho?Mi hakuna kosa linaweza kuniachanisha na mke wangu, hata acheat mara 100 maana mm nacheat pia, nimeshaamua nitaishi naye hadi milele.
🤣🙌Inauma sana pale unapozama chumvini na kuibuka na shahawa za mwanaume mwingine huku ukidhani ni amelowaaaa 😂
kumbe wewe mdangaji wa kiume weweNyie mnajua mbona nimekuwa mtumwa wa umarioo? Nilitendwa mara kadhaa na hawa vibinti vidogo vidogo mpaka suruali zangu zote zilikuwa zinanipwaya!!! Sikuhizi nkikaribia kukutana nao nasepa kisa wananipa kichefuchefu mno!!! Lakini Mungu ni mwema niliangukia mumama ana pepo ya upwiru baada ya lisaa ana ugwadu, poleni makapera na wajane..........naenjoy sasaiv natizama televisheni ananipikia kitimoto ikifika usiku ni chombezo
Je akitaka alambe yako utakubali.Haha, huo uchizi unipitie mbali
Dah! Tayari mwamba kaumizwa huku! 🙁(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.
Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.
Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.
Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.
Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.
Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.
Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekossababu ya kubaki.
Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?
Mshenzi mkubwa wewe
kumbe wewe mdangaji wa kiume wewe
... mwa'sikuhizi huwa hatutumi upendo, ... yaani tunastarehe tu kila mtu akiwa macho makavu, 'SOBER', maana Imani ilishatoweka Duniani!Nilituma upendo,nimerudishiwa maumivu
kumbe wewe mdangaji wa kiume wewe