Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Yaani acha tu 😀🤣🤣🤣kwa motoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani acha tu 😀🤣🤣🤣kwa motoo
Hata wewe kuna utundu huwa unaufanya wengine wakiuona wanasema heeee. Huenda unazungusha kiuno feni au unalia kwa sauti au unatoa macho mtu akikurekodi unajikataaa😂😂🏃♂️Haha, huo uchizi unipitie mbali
Ngoja nitajichunguza kwanza nione😃😃Hata wewe kuna utundu huwa unaufanya wengine wakiuona wanasema heeee. Huenda unazungusha kiuno feni au unalia kwa sauti au unatoa macho mtu akikurekodi unajikataaa😂😂🏃♂️
Tema mate chini mkijifungua mnakuwa machizi tu. Jaribu mjirekodi utasema ni photoshop. Wengine hata uzuri wa sura hutoka ndio maana watu huzima taa🏃♂️🏃♂️Ngoja nitajichunguza kwanza nione😃😃
Wee sema kweliTema mate chini mkijifungua mnakuwa machizi tu. Jaribu mjirekodi utasema ni photoshop. Wengine hata uzuri wa sura hutoka ndio maana watu huzima taa🏃♂️🏃♂️
Kwani huwa unajua kama akitaka kutoka huwa unambana isichomoke😂😂😩🏃♂️Wee sema kweli
Delta 1 copyDelta 2 do you copy....code red we've been hit..man down I repeat man down
Tutafute hela ya kununua bidhaa gani ?Safi sana, mkiambiwa mtafute hela mnalinganisha ya kale na sasa, mke anataka matunzo yakheee
🤭🤭🤭Kwani huwa unajua kama akitaka kutoka huwa unambana isichomoke😂😂😩🏃♂️
Atarudia tu, kwani mapenzi yana akili
Safi sana, mkiambiwa mtafute hela mnalinganisha ya kale na sasa, mke anataka matunzo yakheee
Mbona hadi wenye hela wanagongewa? Unafikiri wanawake mna cha maana mnachoridhika nacho hapa duniani? Tukiwachoma kwa magunia ya mkaa mtalalamika?Safi sana, mkiambiwa mtafute hela mnalinganisha ya kale na sasa, mke anataka matunzo yakheee
MmnhNyie mnajua mbona nimekuwa mtumwa wa umarioo? Nilitendwa mara kadhaa na hawa vibinti vidogo vidogo mpaka suruali zangu zote zilikuwa zinanipwaya!!! Sikuhizi nkikaribia kukutana nao nasepa kisa wananipa kichefuchefu mno!!! Lakini Mungu ni mwema niliangukia mumama ana pepo ya upwiru baada ya lisaa ana ugwadu, poleni makapera na wajane..........naenjoy sasaiv natizama televisheni ananipikia kitimoto ikifika usiku ni chombezo
bado unahasira punguza hasira ufikishe ujumbe mzuri kwetu.(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.
Kwa kuwa naongea Leo kwa kua nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.
Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.
Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.
Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo.nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi ni kawa na penda ukweli ila naamini uongo.
Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la Sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi.kama vile mapenzi huanza basi pia hufa mshenzi wewe.
Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini ,nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.
Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nni?
Mshenzi mkubwa wewe