Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

Usimsikilize mtu nje ya mm tu hapa utanishukuru asubuhi ya kesho.

Nenda zahanat ya mtaan au phamarcy kubwa mwambie akuchome sindano ya power saver ni moja tu.
.
Hospital huwa wanaanza na dawa dozi ya chini ukirudi hujapona wanaongea mpaka uanze kuoza ndo watakupa power saver.
Kama huwezi acha ukahaba basi nakupa siri ukiamka inawasha nyoosha piga hiyo jion mzima.
 
kama ni jeraha nje ya uume,...kuna dawa mbalimbali unaweza pata hospital, lakini hata hivyo hakikisha unalala bila boksa,.na unavaa zaidi nguo nyepesi wakati wa mchana..joto huchelewesha sana vidonda vya sehemu za siri vyenye infections kupona..
 
Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?

Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa cha uume vikatokea vipele vingi vingi ambavyo vikawa vinatoa maji maji meupe, ikabidi niende hospital kupima sikuwa na ugonjwa wa zinaa ila Dr akasema wanipige sindano zile tano za cetr.... na dozi ya Dox ya siku tano.

Hali Musasho imeisha changamoto niliyonayo ni uume kwenye kichwa ngozi yake imekuwa na rangi yenye kama hali ya usaa usaa nimetumia iodine kukifuta wiki sasa, unakifuta baada ya muda hilo futa kama usaa linarudi na linaseleleka kushuka chini ya kichwa cha uume?.

Nimebadilisha dawa nikakisafisha kwa kutumia hydrogen peroxide kidonda chote; nikaweka sehemu yenye ki mchubuko nikainyunyizia dawa lakini asubuhi nimeamka ile hali ya ngozi kuwa na futa imerudi tena msaada wenu tafadhali..

Ajali kazini.
Azumaaaaaa
 
Tatizo ni pale unafuta vizuri, na kutia dawa baada ya muda inarudi ngozi ya mfumo ule ule.. hapa ndo pananichanganya Kaka.
ukisugua ikakaa sawaa, tafuta mafuta ya nazi uwe unapaka mara kwa mara, pasikauke, pia tafuta vidonge vya kukaushaa ampliclox nk!
 
Back
Top Bottom