Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

Wachfu nasikia hawajioshagi kwa maji.wanatumia tissue
 
Itakua kweli asee, mana sio kwa kupigwa na gono vile, gono hata ndom halisikii kitu ambacho bongo sikuwahi shuhudia,,,,ila naona sasa yale magono yao ndo na bongo yameingia sasa wanayaita uti kali
Ma she siku hiz full kunukia full kupendeza ila baba usiombe, wana magono balaa..nje nje yan gusa unase
 
Si NDIYO mnasemaaga hamli pipi na ganda haya Sasa hayo ndo matokeo

Ludi hospital
 
Sisi ambao tunazeeka na hatujapata tunashukuru kwa kweli, aendelee kututetea.
 
Pole mkuu
Aliye kutibu alikutibu randomly,hakukutibu kwa syndomic management. So nenda hospital kubwa utapata matibabu sahihi
 
Sijasoma zaidi ya heading ila mwamba una gono na chances are umepata ngoma pia.
 
Inaweza kua ni pangusa inakutesa kwa kua umesha tumia dawa jipe muda kuona maendeleo yake

Hakikisha unabadilisha boxer kwa siku hata mala 3 ilikuondoa bacteria wanao kua kwenye maji maji

Toa hofu kichwani hii itakusaidia usiguse guse uume wako (to heal the wound you must stop scratching it)

By the way vip Hali Yako unaendeleaje mkuu?
 
Oyaaa utamua huyo jamaa kwa pressure๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ