Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Ila ulikuwa unamzongazonga sana kipindi hiki[emoji23][emoji23] mke mwema huyu
ila wanawake bana kwa unafiki hawajamboYou look good together!😍😍
Nilikua nampenda [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila ulikuwa unamzongazonga sana kipindi hiki
Uchawi upoNilikua nampenda [emoji23]
sio mwaka wa nne adi wa nane uko maana serekalini hamna ajiraTusiwalaumu sana, unakuta binti amemaliza chuo, mwaka wa nne hana kazi, umri unaenda hakuna ndoa inabidi apambane ili aweze kuishi; wakiume wanaweza kukimbilia kazi ya boda boda n.k
Nilikua nampenda [emoji23]
Uchawi upo
Wakaka wa chuga bwana!mnapenda kibabe🤣Nilikua nampenda [emoji23]
Kwa nn?Uchawi upo
Kubembeleza mwanzoni huwa hatujui, Ila penzi likinoga huwa tunakua wapole na akili yote tunakaibidhi[emoji23]Wakaka wa chuga bwana!mnapenda kibabe[emoji1787]
Umenikosea sana......ila wanawake bana kwa unafiki hawajambo
apo ukute anamaanisha kinyume chake🤣🤣
Huyo mtu ana mazuri mengi sana, namuombea miaka mingi sana chini ya hili juaHongera Kwa mama la mama Lamomy
Sitachoka kusema mazuri yako[emoji23][emoji23][emoji23] Nijichekee nitanue mbavu, usimuamini huyo
Sitachoka kusema mazuri yako
Inshallah tunangoja ubwabwa...nisikosekane kwenye kamati ya maandaliziHuyo mtu ana mazuri mengi sana, namuombea miaka mingi sana chini ya hili jua
Inshallah tunangoja ubwabwa...nisikosekane kwenye kamati ya maandalizi