Kwani nikikonda atarudi?au ndio atakuwa anacheka kirohoroho🤣🤣🤣Umeona [emoji23][emoji23][emoji23]
Usifanye mchezo na kuachwa
Kaachwa vizuri[emoji23]
Asante shemejiPole sana, hope utapata mtu mwingine sahihi zaidi
Pambe tuuu[emoji126]
Kwani nikikonda atarudi?au ndio atakuwa anacheka kirohoroho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mishe kaniacha nazo zinanikeep busy,Sasa Kwa Nini nikonde tena?Kaachwa vizuri[emoji23]
🤣🤣🤣🤣Eeeh Wacha weee [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi Nina utulivu ye mwenyewe anajua🤣[emoji23][emoji23][emoji23] Atakuwa alikuwa na kidumu pembeni
Mi Nina utulivu ye mwenyewe anajua[emoji1787]
Mwingiiiiiiiiii na utu juu!Sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu haukumiwi kwa historia yakeMbona huko kila mtu anajiuza, wewe ulimpataje!
Labda utuambie ulipata malaya akaamua kubadilika!
Kosa liko wapi?Mbona huko kila mtu anajiuza, wewe ulimpataje!
Labda utuambie ulipata malaya akaamua kubadilika!