Nilikutana naye hajavaa vikuku mguuni, muda Huu kaja kunisalimiaa Amevaa vikuku miguuni

Nilikutana naye hajavaa vikuku mguuni, muda Huu kaja kunisalimiaa Amevaa vikuku miguuni

Sasa hapa nimueleweje ?

Nilikua nampango wa Kupiga Kwa ndom tu, ila sasa inabidi, nimpime alafu nipigie ndomu.


Kanikata stimu sana, sema kafanya vizur maana angekuja kama tulivyoonana pengine ningepigia kondomu tu.
MWANAMKE amepewa UWEZO wa kukuza vitu VIDOGO kuwa VIKUBWA.

.Sio Kwamba Anajifanyisha ndivyo WALIVYO ( They put things into details and Multiply)

Nakuandikia kiingereza UTAFIKIRI nilikusomesha[emoji23]lakini ndo hivyo Huna la Kufanya..!

Mwanamke UKIMPA TABASAMU anakupa KICHEKO.

Mwanamke Ukimdekeza Atakupa MAPENZI

Mwanamke Ukimpa Mapenzi atakupa Chakula Cha Ndoa ( kwa wanandoa).

MWANAMKE Ukimpa Stress atakupa KILIO.

Mwanamke ukimzaba KIBAO anatasema ULITAKA KUMUUA.

Mwanamke atavaa APENDEZE ili APENDWE lakini jichanganye umwambie NAKUPENDA

Atakwambia HALAFU kaka nilikuwa nakuheshimu Sana lakini UMENIBOA Sana[emoji1]

Mwanamke anaweza kunyoa NYUSI akapaka Rangi Nyeusi( Hawa watu ni very funny,ukilazimisha uwaelewe UTACHOKA)

Unaweza kumpendezesha akaenda Kumshukru aliyemkumbatia na kumwambia UMEPENDEZA.

Mwanamke Ukimpa WAZO( idea) ataligeuza Kuwa HALISI( reality).

Ukimpa mbegu za KIUME atakupa MTOTO.

Mwanamke Ukimpa 10K ataizalisha itakuwa 100K.

Kama MKE wako hazalishi Kuna Mambo 3

Yawezekana Hajui Uwezo wake huo aliopewa ( Illiteracy)

Umemuumiza, Ana majeraha anatembea huku moyo unavuja damu kwa sababu Yako.

AU.....!

Anajua lakini ameamua TU kutotumia Uwezo wake.

Ukimfahamu mwanamke wako na Uwezo wake Utakula vingi VITAMU
 
Mwanamke anaevaa
Kipini puani,
Shanga kiunoni
Kikuku mguuni,
Masikio katoboa toboa anavaa hereni 6-10, funga kazi
Kachora tattoo.

Huyo muweke kwenye (Mabano) Myself namchukulia km prostitute
 
Sasa hapa nimueleweje?

Nilikua nampango wa Kupiga Kwa ndom tu, ila sasa inabidi, nimpime alafu nipigie ndomu.

Kanikata stimu sana, sema kafanya vizur maana angekuja kama tulivyoonana pengine ningepigia kondomu tu.
Mimi siku hizi Instagram inanisaidia sana.
Nikikutana na demu nimemuelewa, hua naomba insta yake kiroho safi tu. Wengi siri zao nyingi huwa wanazianika mule ama kwa kujua au bila kujua

Mfano utakuta demu kapost picha kibao yupo nusu-uchi, au kapost mapicha yupo hoteli kubwa tofauti tofauti tena vyumbani, kama ni mvaa vikuku lazima kuna picha utakuta kavivaa, kama ana tattoo lazima ataonyesha, kama ni mlevi, mtu wa viwanja sana, mvuta shisha nk taarifa zote utazipata kule.

Hii imenisaidia sana kuepuka vimeo.
 
Duuh
 

Attachments

  • 20240704_224702.jpg
    20240704_224702.jpg
    113.2 KB · Views: 5
Wakuu nmetumia ndomu, nmetupia Vitatu vya muda mrefu mrefuu .


Sema nini..

Demu hakutaka kabisa nmnyonye lips , naye hajataka kabisa kuninyonya Mashine.

Ila ametaka nimnyonye chuchu na sehem zingine za mwili.


Simu zake zilikua zinaiita usiku kucha.

Kwa maelezo hahitaji kuzaa Wala kuoolewa Tena.

Kavaa wigi .
 
Back
Top Bottom