Nilikutana naye hajavaa vikuku mguuni, muda Huu kaja kunisalimiaa Amevaa vikuku miguuni

Nilikutana naye hajavaa vikuku mguuni, muda Huu kaja kunisalimiaa Amevaa vikuku miguuni

Mimi siku hizi Instagram inanisaidia sana.
Nikikutana na demu nimemuelewa, hua naomba insta yake kiroho safi tu. Wengi siri zao nyingi huwa wanazianika mule ama kwa kujua au bila kujua

Mfano utakuta demu kapost picha kibao yupo nusu-uchi, au kapost mapicha yupo hoteli kubwa tofauti tofauti tena vyumbani, kama ni mvaa vikuku lazima kuna picha utakuta kavivaa, kama ana tattoo lazima ataonyesha, kama ni mlevi, mtu wa viwanja sana, mvuta shisha nk taarifa zote utazipata kule.

Hii imenisaidia sana kuepuka vimeo.
Wasio na insta inakuwaje boss?
 
Mimi siku hizi Instagram inanisaidia sana.
Nikikutana na demu nimemuelewa, hua naomba insta yake kiroho safi tu. Wengi siri zao nyingi huwa wanazianika mule ama kwa kujua au bila kujua

Mfano utakuta demu kapost picha kibao yupo nusu-uchi, au kapost mapicha yupo hoteli kubwa tofauti tofauti tena vyumbani, kama ni mvaa vikuku lazima kuna picha utakuta kavivaa, kama ana tattoo lazima ataonyesha, kama ni mlevi, mtu wa viwanja sana, mvuta shisha nk taarifa zote utazipata kule.

Hii imenisaidia sana kuepuka vimeo.

[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Kwanini wanaume wa zama hizi mnashinda kuwasema wanawake kutwa, Weakness kubwa sana hii.
Fanya maamuz kimya kimya usitangaze code za kiume kwa hawa viumbe watawamaliza sasa.
 
Tumetofautiana mitazamo..

Binafsi TATTOO inategemea ipo wapi ndio nitaona ni redflag.

Pia kikuku wala sina shida, navutiwa kuona Ke amevaa, hata Mke wangu namwambia awe anavaa (nikiwa nae ndani) , hata shanga but napenda chains hasa za gold or silver.. pia huw namwambia achore Hinna hasa miguuni akitia na kikuku.. weeeeh🙌

Mwili wa MWANAMKE ni kama CHIPS KAVU.. sasa hivyo vikuku, shanga, hereni, hinna etc ni kama vikorombwezo kufanya MWILI unoge zaidi..

Pini puani sion tatizo hata hereni..

Redflags kwa upande wangu ni hizi.

1- MLEVI: Mwanamke anayekunyw Pombe ni redflag
2- KUCHA: Makucha marefu
3- UVAAJI: Kuna aina ya mavazi ni redflag kubwa sana
4- MWENYE MARAFIKI WENGI
5- MITOKO MINGI : Leo yupo huku kesho kule
6- SHISHA: Wanajiita MADRAGON
 
MWANAMKE amepewa UWEZO wa kukuza vitu VIDOGO kuwa VIKUBWA.

.Sio Kwamba Anajifanyisha ndivyo WALIVYO ( They put things into details and Multiply)

Nakuandikia kiingereza UTAFIKIRI nilikusomesha[emoji23]lakini ndo hivyo Huna la Kufanya..!

Mwanamke UKIMPA TABASAMU anakupa KICHEKO.

Mwanamke Ukimdekeza Atakupa MAPENZI

Mwanamke Ukimpa Mapenzi atakupa Chakula Cha Ndoa ( kwa wanandoa).

MWANAMKE Ukimpa Stress atakupa KILIO.

Mwanamke ukimzaba KIBAO anatasema ULITAKA KUMUUA.

Mwanamke atavaa APENDEZE ili APENDWE lakini jichanganye umwambie NAKUPENDA

Atakwambia HALAFU kaka nilikuwa nakuheshimu Sana lakini UMENIBOA Sana[emoji1]

Mwanamke anaweza kunyoa NYUSI akapaka Rangi Nyeusi( Hawa watu ni very funny,ukilazimisha uwaelewe UTACHOKA)

Unaweza kumpendezesha akaenda Kumshukru aliyemkumbatia na kumwambia UMEPENDEZA.

Mwanamke Ukimpa WAZO( idea) ataligeuza Kuwa HALISI( reality).

Ukimpa mbegu za KIUME atakupa MTOTO.

Mwanamke Ukimpa 10K ataizalisha itakuwa 100K.

Kama MKE wako hazalishi Kuna Mambo 3

Yawezekana Hajui Uwezo wake huo aliopewa ( Illiteracy)

Umemuumiza, Ana majeraha anatembea huku moyo unavuja damu kwa sababu Yako.

AU.....!

Anajua lakini ameamua TU kutotumia Uwezo wake.

Ukimfahamu mwanamke wako na Uwezo wake Utakula vingi VITAMU
"Mwanamke Ukimpa 10K ataizalisha itakuwa 100K.".

Umepotoka,mwanaume ndiye pekee ana huo uwezo wa kufanya hiki ulichokiandika hapa.
Omba omba na wanawake ndiyo kundi linalopokea Pesa za bure,lakini hakuna Tajiri Omba omba na kati ya Wanawake Matajiri Mia Moja, 80% ama 90% wana Mali za Kurithi ama Mali za Mavuno baada ya Ndoa Kuvunjika.
Mwanaume anaweza kukaa na laki 1 miezi 5 ila mwanamke hawezi.
 
Mwili wa MWANAMKE ni kama CHIPS KAVU.. sasa hivyo vikuku, shanga, hereni, hinna etc ni kama vikorombwezo kufanya MWILI unoge zaidi..🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom