Nilikutana naye hajavaa vikuku mguuni, muda Huu kaja kunisalimiaa Amevaa vikuku miguuni

Wasio na insta inakuwaje boss?
 

[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Kwanini wanaume wa zama hizi mnashinda kuwasema wanawake kutwa, Weakness kubwa sana hii.
Fanya maamuz kimya kimya usitangaze code za kiume kwa hawa viumbe watawamaliza sasa.
 
Tumetofautiana mitazamo..

Binafsi TATTOO inategemea ipo wapi ndio nitaona ni redflag.

Pia kikuku wala sina shida, navutiwa kuona Ke amevaa, hata Mke wangu namwambia awe anavaa (nikiwa nae ndani) , hata shanga but napenda chains hasa za gold or silver.. pia huw namwambia achore Hinna hasa miguuni akitia na kikuku.. weeeeh🙌

Mwili wa MWANAMKE ni kama CHIPS KAVU.. sasa hivyo vikuku, shanga, hereni, hinna etc ni kama vikorombwezo kufanya MWILI unoge zaidi..

Pini puani sion tatizo hata hereni..

Redflags kwa upande wangu ni hizi.

1- MLEVI: Mwanamke anayekunyw Pombe ni redflag
2- KUCHA: Makucha marefu
3- UVAAJI: Kuna aina ya mavazi ni redflag kubwa sana
4- MWENYE MARAFIKI WENGI
5- MITOKO MINGI : Leo yupo huku kesho kule
6- SHISHA: Wanajiita MADRAGON
 
"Mwanamke Ukimpa 10K ataizalisha itakuwa 100K.".

Umepotoka,mwanaume ndiye pekee ana huo uwezo wa kufanya hiki ulichokiandika hapa.
Omba omba na wanawake ndiyo kundi linalopokea Pesa za bure,lakini hakuna Tajiri Omba omba na kati ya Wanawake Matajiri Mia Moja, 80% ama 90% wana Mali za Kurithi ama Mali za Mavuno baada ya Ndoa Kuvunjika.
Mwanaume anaweza kukaa na laki 1 miezi 5 ila mwanamke hawezi.
 
Mwili wa MWANAMKE ni kama CHIPS KAVU.. sasa hivyo vikuku, shanga, hereni, hinna etc ni kama vikorombwezo kufanya MWILI unoge zaidi..🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…