Nilikuwa na mahusiano na mfanyakazi mwenzake, kajua naona kabadilika

Nilikuwa na mahusiano na mfanyakazi mwenzake, kajua naona kabadilika

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
166
Reaction score
649
Nilikua Na Mahusiano Na Mfanyakazi Mwenzake, Kajua Naona Kama Kabadilika!

Mwezi wa 3 mwaka jana nilianzisha mahusiano ambayo hadi sasa ninajutia kwanini niliyaanzisha. Ni mahusiano ambayo hayakudumu, tuliachana mwezi 8 mwishoni. Mwezi wa tatu mwaka huu nikakutana na mtu mwingine. Mimi ni nafanya kazi benki mwanaume niliyekuwa naye huko nyuma naye anafanya kazi benki sema tawi jingine.

Sasa mwezi wa tatu nikakutana na mtu mwingine kwenye mambo ya kikazi, anafanyakazi benki pia sema ni bosi kidogo na wapo ofisi moja na mwanaume mwingine. Niliogopa kumwambia ukweli, hivyo nilimzungusha kwa muda wa miezi kama miwili ndipo tukawa serious (mwezi wa tano). Ila siku mwambia kuhusu yule kaka niliyekuwa naye.

Nilivyokwenda kwake, kuna mtu aliniona, akamwambia kuhusu mimi kuwa na mahusiano na yule kaka. Aliponiuliza nilikataa kwa sababu niliogopa. Yule kaka alivyojua ninatembea na mkuu wake alianza kusambaza taarifa kuhusu mimi. Juzi huyu mwanaume wangu aliniuliza tena kama nshawahi kuwa na mwalimu staff mate wake, ikabidi nikubali. Ameumia sana na kuna namna naona amebadilika.

Ananiambia alijua muda mrefu na anasema amenisamehe, kuna namna nahisi kama hajanisamehe na atakuja kuniacha tu. Niko kwenye dilema. Unadhani inawezekana akanisamehe kwa kutokusema ukweli na kwa kuwa nilishawahi date mfanyakazi mwenzake?

Najua nimemkosea sana na nilishaomba msamaha.

Nikimpigia simu ananitolea maneno ya kuniumiza kuwa yuko na mpenzi wake hivyo nisipige simu. Nina miaka 29, yeye ana miaka 34.
 
Nilikua Na Mahusiano Na Mfanyakazi Mwenzake, Kajua Naona Kama Kabadilika!

Mwezi wa 3 mwaka jana nilianzisha mahusiano ambayo hadi sasa ninajutia kwanini niliyaanzisha. Ni mahusiano ambayo hayakudumu, tuliachana mwezi 8 mwishoni. Mwezi wa tatu mwaka huu nikakutana na mtu mwingine. Mimi ni nafanya kazi benki mwanaume niliyekuwa naye huko nyuma naye anafanya kazi benki sema tawi jingine. Sasa mwezi wa tatu nikakutana na mtu mwingine kwenye mambo ya kikazi, anafanyakazi benki pia sema ni bosi kidogo na wapo ofisi moja na mwanaume mwingine. Niliogopa kumwambia ukweli, hivyo nilimzungusha kwa muda wa miezi kama miwili ndipo tukawa serious (mwezi wa tano). Ila siku mwambia kuhusu yule kaka niliyekuwa naye.

Nilivyokwenda kwake, kuna mtu aliniona, akamwambia kuhusu mimi kuwa na mahusiano na yule kaka. Aliponiuliza nilikataa kwa sababu niliogopa. Yule kaka alivyojua ninatembea na mkuu wake alianza kusambaza taarifa kuhusu mimi. Juzi huyu mwanaume wangu aliniuliza tena kama nshawahi kuwa na mwalimu staff mate wake, ikabidi nikubali. Ameumia sana na kuna namna naona amebadilika.

Ananiambia alijua muda mrefu na anasema amenisamehe, kuna namna nahisi kama hajanisamehe na atakuja kuniacha tu. Niko kwenye dilema. Unadhani inawezekana akanisamehe kwa kutokusema ukweli na kwa kuwa nilishawahi date mfanyakazi mwenzake?

Najua nimemkosea sana na nilishaomba msamaha.

Nikimpigia simu ananitolea maneno ya kuniumiza kuwa yuko na mpenzi wake hivyo nisipige simu. Nina miaka 29, yeye ana miaka 34.
Tufanyeni kazi jamani na tupanue wigo mpana. Tunaendekeza uasherati na take home 250K
 
wontbuylifeinsurancebutwillaskfora-go-fund-me-butwillsell-fishand-bb-qplates.gif
 
Kwakua ushaomba msamaha just chill, usiendelee kutia huruma. Endelea kumtreat kama mlivyokua mwanzo, ukiona anakua dry na wewe kuwa dry tu huku ukijiandaa kisaokolojia kuachwa.
Kama ni wako akipona maumivu ya kumdanganya atakurudia, yeye kama mtu mzima inabidi awe muelewa.

Ila huyo ex wako ni mwanafatuma, hakukua na haja ya kupelemba mdomo
 
Nilikua Na Mahusiano Na Mfanyakazi Mwenzake, Kajua Naona Kama Kabadilika!

Mwezi wa 3 mwaka jana nilianzisha mahusiano ambayo hadi sasa ninajutia kwanini niliyaanzisha. Ni mahusiano ambayo hayakudumu, tuliachana mwezi 8 mwishoni. Mwezi wa tatu mwaka huu nikakutana na mtu mwingine. Mimi ni nafanya kazi benki mwanaume niliyekuwa naye huko nyuma naye anafanya kazi benki sema tawi jingine. Sasa mwezi wa tatu nikakutana na mtu mwingine kwenye mambo ya kikazi, anafanyakazi benki pia sema ni bosi kidogo na wapo ofisi moja na mwanaume mwingine. Niliogopa kumwambia ukweli, hivyo nilimzungusha kwa muda wa miezi kama miwili ndipo tukawa serious (mwezi wa tano). Ila siku mwambia kuhusu yule kaka niliyekuwa naye.

Nilivyokwenda kwake, kuna mtu aliniona, akamwambia kuhusu mimi kuwa na mahusiano na yule kaka. Aliponiuliza nilikataa kwa sababu niliogopa. Yule kaka alivyojua ninatembea na mkuu wake alianza kusambaza taarifa kuhusu mimi. Juzi huyu mwanaume wangu aliniuliza tena kama nshawahi kuwa na mwalimu staff mate wake, ikabidi nikubali. Ameumia sana na kuna namna naona amebadilika.

Ananiambia alijua muda mrefu na anasema amenisamehe, kuna namna nahisi kama hajanisamehe na atakuja kuniacha tu. Niko kwenye dilema. Unadhani inawezekana akanisamehe kwa kutokusema ukweli na kwa kuwa nilishawahi date mfanyakazi mwenzake?

Najua nimemkosea sana na nilishaomba msamaha.

Nikimpigia simu ananitolea maneno ya kuniumiza kuwa yuko na mpenzi wake hivyo nisipige simu. Nina miaka 29, yeye ana miaka 34.
Mi ndo sijaelewa huu mkasa au!.. maana naona watumishi wa benki mara walimu wote wakipiga shoo.. Anyway asante Kwa kuwatunuku vijana papuchi, umepewa bure Toa bure.. Acha vijana wapokezane
 
Wanasaikolojia wanashauri sana kuwa ukitoka kwenye mahusiano, hata yale ambayo mliachana vyema, pumzika. Fanya tathmini kwa nini hayo mahusiano yamevunjika na umejifunza nini. Katika mahusiano yajayo unataka nini? Je, lilikuwa ni kosa lako? Na kama unapata wanaume mafurushi ni kwa nini?

Hii self evaluation ni muhimu sana maana ni kama dira itakayokuongoza. Sasa wewe inaonekana ni hekaheka mwanzo mwisho. Hupumziki hata kidogo unatoka kwenye mahusiano haya huyoo unaunganisha tu. Angalia. Wataipiga hiyo kitu mpaka ibakie lapulapu kama dekio maana mabaharia siyo watu!

Nimepitia pia uzi wako huu. Nimeshangaa sana! 🚮🚮🚮🚮

 
Wanasaikolojia wanashauri sana kuwa ukitoka kwenye mahusiano, hata yale ambayo mliachana vyema pumzika. Fanya tathmini kwa nini hayo mahusiano yamevunjika na umejifunza nini. Katika mahusiano yajayo unataka nini? Je, lilikuwa ni kosa lako? Na kama unapata wanaume mafurushi ni kwa nini?

Hii self evaluation ni muhimu sana maana ni kama dira itakayokuongoza. Sasa wewe inaonekana ni hekaheka mwanzo mwisho. Hupumziki hata kidogo unatoka kwenye mahusiano haya huyoo unaunganisha tu. Angalia. Wataipiga hiyo kitu mpaka ibakie lapalapa kama mapupu.
Babuu paragraph ya 1 imenigusaaa mnooo!! Barikiwaa sanaaa.
Mzee wa Busaraaa.
 
Mbona kama naona utoto utoto au chai...

Mwezi wa 3 mwaka jana nilianzisha mahusiano ambayo hadi sasa ninajutia kwanini niliyaanzisha. Ni mahusiano ambayo hayakudumu, tuliachana mwezi 8 mwishoni.

Ulikuwa na mahusiano ya kwanza, yakavunjika...

Mwezi wa tatu mwaka huu nikakutana na mtu mwingine.

Miezi 7 baadaye ukaingia kwenye penzi jipya ukiwa single...

Sasa iweje huyu mpenzi wako mpya aweweseke kwa mahusiano yako ya zamani ambayo yalishavunjika?

Pia, iweje na wewe uweweseke na kuanza kuomba msamaha kwenye jambo ambalo sio kosa?

Utoto mwingi au chai...

Thread 'Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu' Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu
 
Sasa kama anakwambia yuko na mpenzi wake na wewe si uendelee na maisha yako?muwahi jitoe mapema
Kwani alikukuta bikira?
 
Moja ya Jambo ambalo unapaswa kulifanya ni kutafuta mtu wako utulie upange naye maisha (tulia) huku mara kule kutakupa msongo wa mawazo az time goin nw DayZ mwishowe utarudi nyumbani kwa wazazi, ukiwa na stress za kutosha, kumbuka uzuri huwa unaisha, wale waliokuwa wanakutafuta hawatakuwa wanakutafuta, hata ile salamu mambo huwenda ikawa ngumu kuipata, ikawa umejiponza mwenyewe, wazazi wako wanategemea umri ulionao wapokee mahari utoke nyumbani salama,
 
Mbona kama naona utoto utoto au chai...



Ulikuwa na mahusiano ya kwanza, yakavunjika...



Miezi 7 baadaye ukaingia kwenye penzi jipya ukiwa single...

Sasa iweje huyu mpenzi wako mpya aweweseke kwa mahusiano yako ya zamani ambayo yalishavunjika?

Pia, iweje na wewe uweweseke na kuanza kuomba msamaha kwenye jambo ambalo sio kosa?

Utoto mwingi au chai...

Thread 'Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu' Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Tajiri wa matajiri ni mwanaume wa miaka 30 pia mwanamke wa miaka 29 😂😂😂
 
Nilikua Na Mahusiano Na Mfanyakazi Mwenzake, Kajua Naona Kama Kabadilika!

Mwezi wa 3 mwaka jana nilianzisha mahusiano ambayo hadi sasa ninajutia kwanini niliyaanzisha. Ni mahusiano ambayo hayakudumu, tuliachana mwezi 8 mwishoni. Mwezi wa tatu mwaka huu nikakutana na mtu mwingine. Mimi ni nafanya kazi benki mwanaume niliyekuwa naye huko nyuma naye anafanya kazi benki sema tawi jingine.

Sasa mwezi wa tatu nikakutana na mtu mwingine kwenye mambo ya kikazi, anafanyakazi benki pia sema ni bosi kidogo na wapo ofisi moja na mwanaume mwingine. Niliogopa kumwambia ukweli, hivyo nilimzungusha kwa muda wa miezi kama miwili ndipo tukawa serious (mwezi wa tano). Ila siku mwambia kuhusu yule kaka niliyekuwa naye.

Nilivyokwenda kwake, kuna mtu aliniona, akamwambia kuhusu mimi kuwa na mahusiano na yule kaka. Aliponiuliza nilikataa kwa sababu niliogopa. Yule kaka alivyojua ninatembea na mkuu wake alianza kusambaza taarifa kuhusu mimi. Juzi huyu mwanaume wangu aliniuliza tena kama nshawahi kuwa na mwalimu staff mate wake, ikabidi nikubali. Ameumia sana na kuna namna naona amebadilika.

Ananiambia alijua muda mrefu na anasema amenisamehe, kuna namna nahisi kama hajanisamehe na atakuja kuniacha tu. Niko kwenye dilema. Unadhani inawezekana akanisamehe kwa kutokusema ukweli na kwa kuwa nilishawahi date mfanyakazi mwenzake?

Najua nimemkosea sana na nilishaomba msamaha.

Nikimpigia simu ananitolea maneno ya kuniumiza kuwa yuko na mpenzi wake hivyo nisipige simu. Nina miaka 29, yeye ana miaka 34.
Wanaume tuna hisia tofauti na wanawake. Kuna uwezekano mkubwa hiyo chance ya kuwa naye imepotea na kwa sasa atakutumia kama sex machine ataenda kuoa mwingine. Kuna kupambania kumpata mwanamke anayemilikiwa na subordinate, hii ina heshima kidogo hasa kama wewe ni posi ya maana na yenye akili. Halafu kuna kumpata demu aliyeachwa na subordinate hii ina shida sisi kwa wanaume kuoa hata kama ni mzuri na una brain.

Sometime ni ngumu kumuambia ukweli mtu wako kuhusu mahusiano yaliyopita maana unaweza shusha cv kabisa. 29 yrs of age wewe uko matured don't panic on this issue. Provided amekuambia alijua mapema kuhusu hili, ukiwa kama mwanamke zungusha ulimi atakuelewa.
 
Back
Top Bottom