Nilikuwa nadhani atakuwa na akili au smart kumbe ni wa ovyo tu

Nilikuwa nadhani atakuwa na akili au smart kumbe ni wa ovyo tu

Hata wewe huna tofauti na huyo jamaa. Ishu za JF ziishie JF sio hadi kupanga miadi ya kukutana Bar
sasa kama wewe umeamua kujiita mama samia kweli utakuwa upo sawa kiakili? si rahisi. waulize watu wenye akili huwa wanakutana wapi. au umezoea wewe wanaume wanakuambia ukakutane nao guest house ndo unaona ni sawa? sisi wanaume wa kizamani tunakuana na wageni sehemu za wazi
 
Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake.

Heeeee! Nimeangalia ana app ya Mange Kimambi, nikamtoa akili kabisa! Kumbe jamaa hayupo serious na maisha kabisa ndio maana nilikuwa namwona tu kama sometimes hajielewi elewi anaongea sana.

Jamaa anajua taarifa za mastaa wa bongo na michepuko yao kuliko kuelewa mambo ya msingi katika maisha ambayo yatakuwa na mchango chanya kwake. Nilimuuliza maswali kadhaa tu kupima uelewa wake, nikaona ana eleaelea sana.

Ile tukiwa pamoja akaingia insta, kisha akaanza kuniambia kwa sasa msanii fulani anatoka na sijui nani na hapo akawa amepokea simu nyingine ananiambia amepigiwa simu na msanii mmoja wanataka waende Dodoma wakaonane na Waziri flani.

Huyo msanii ni mwanamke ni kama anampeleka kumkuwadia. Maana anasema huyo Waziri anamtaka sana huyo demu. So kawaaambia waende wakaeleze changamoto zao. So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.

Huyu jamaa ni kilaza, nilim-block jana hiyo hiyo abaki kuwa kuwadi, mi sitaki ukaribu na watu wasiojielewa. Mwanaume huwezi kuwa na App. ya Mange Kimambi. Huwezi kuwa mwanaume ukawa na hiyo App.

Nimepasua jipu.
Unajipakulia manyama mwenyewe 🤣🤣
 
Wewe ni wa kike au wa kiume?
hili swali nime mforwardia your mother kasema atakujibu. na amekasirika sana....alitaka kukupigia nimemkataza akuache kwanza utoke shule uje likizo. yeye anaweza kukujibu hili kwa kina. maana nlianza kuhisi pengine zile mimba mtu anapata si zangu.
 
Ni kweli tabia ya mtu huitaji kukaa naye muda mrefu kumjua hupimwa na

♦️ Aina ya Mavazi anayovaa. Hovyo kabisa

♦️Aina ya vyakula anavyokula na tabia yake katika vyakula vya Umma, kama foleni lenyewe halipangi linajichimeka kwenye mstari halafu linajiongelesha kuzuga Lina chekesha likifika kwenye bufee Sasa aibu tupu swala la table manner kwake ni kitendawili. Hovyo kabisa

♦️ Aina ya muziki lonalosikiliza, aina ya milioni ya kwenye simu na aina ya vichekesho linalofuatilia kwenye mitandao. Unakuta jitu kubwa kabisa limepitwa na umri lakini simu ikiita tuu tayari uliopo jirani umeshajua uko na dude gani la hovyo lishamba lishamba. Yote tisa kumi vile vichekesho vidogo vya kwenye simu ambapo wameweka background ya watu wanaocheza ndio balaa kabisa linaweka sauti kubwa kwenye kadamnasi Wala halijishtukii ,watu wanaona umri wake wanaliona ni jitu la hovyo kabisa.

♦️ Company ya watu anaotembea nao. Unakuta jitu kubwa zee saa zote linajifanya kijana lipo na wahuni tuu hata lugha linaongea hizo za kizazi kipya ( hapa watu wavuta kitu Cha Arusha linawahusu) hovyo kabisa

♦️ Kuna majitu ya hovyo yanakutana na company ya walevi au wahuni wa kwenye ma club ambao wengi huishia Maisha ya kishetani na wengine huonekana usiku tuu hilo limtu linaunda nao urafiki hadi linawatambulisha nyumbani baadaye linavuruga kabisa familia Bora lililokuwa nalo kwani kirafiki shetani hilo limetongoza mpaka kuku,mbuzi na mifugo yote sembuse MKE na watoto. Hovyo kabisa

♦️ Aina ya mitandao ya kijamii linalofuatilia na liliko jiunga. Hivi mwanaume mtu mzima upo mange app unafuatilia umbra na watu waliorusha picha za hovyo tulikuambia umesha left kund utachukia? Hovyo kabisa
 
So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.
Asante.

giphy (1).gif


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Akiwemo mtoa mada tz ukiwa serious sana kuna michongo itaku skip world is changing sema mhusika alishindwa ku copy na mazingira ila hayo mengine ni ya kawaida so kuja kutupigia kelele humu
ungemwambia mtu akuandikie vizuri usomeke ueleweke
 
Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake.

Heeeee! Nimeangalia ana app ya Mange Kimambi, nikamtoa akili kabisa! Kumbe jamaa hayupo serious na maisha kabisa ndio maana nilikuwa namwona tu kama sometimes hajielewi elewi anaongea sana.

Jamaa anajua taarifa za mastaa wa bongo na michepuko yao kuliko kuelewa mambo ya msingi katika maisha ambayo yatakuwa na mchango chanya kwake. Nilimuuliza maswali kadhaa tu kupima uelewa wake, nikaona ana eleaelea sana.

Ile tukiwa pamoja akaingia insta, kisha akaanza kuniambia kwa sasa msanii fulani anatoka na sijui nani na hapo akawa amepokea simu nyingine ananiambia amepigiwa simu na msanii mmoja wanataka waende Dodoma wakaonane na Waziri flani.

Huyo msanii ni mwanamke ni kama anampeleka kumkuwadia. Maana anasema huyo Waziri anamtaka sana huyo demu. So kawaaambia waende wakaeleze changamoto zao. So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.

Huyu jamaa ni kilaza, nilim-block jana hiyo hiyo abaki kuwa kuwadi, mi sitaki ukaribu na watu wasiojielewa. Mwanaume huwezi kuwa na App. ya Mange Kimambi. Huwezi kuwa mwanaume ukawa na hiyo App.

Nimepasua jipu.
I really dont understand kabisa,inakuaje una chat na mtu JF halafu unakutana nae in real life?

Like how?

Hiyo kitu haiwezekani asilani,ni ukichaa to begin with!
 
Back
Top Bottom