Nilikuwa nadhani atakuwa na akili au smart kumbe ni wa ovyo tu

Nilikuwa nadhani atakuwa na akili au smart kumbe ni wa ovyo tu

Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake.

Heeeee! Nimeangalia ana app ya Mange Kimambi, nikamtoa akili kabisa! Kumbe jamaa hayupo serious na maisha kabisa ndio maana nilikuwa namwona tu kama sometimes hajielewi elewi anaongea sana.

Jamaa anajua taarifa za mastaa wa bongo na michepuko yao kuliko kuelewa mambo ya msingi katika maisha ambayo yatakuwa na mchango chanya kwake. Nilimuuliza maswali kadhaa tu kupima uelewa wake, nikaona ana eleaelea sana.

Ile tukiwa pamoja akaingia insta, kisha akaanza kuniambia kwa sasa msanii fulani anatoka na sijui nani na hapo akawa amepokea simu nyingine ananiambia amepigiwa simu na msanii mmoja wanataka waende Dodoma wakaonane na Waziri flani.

Huyo msanii ni mwanamke ni kama anampeleka kumkuwadia. Maana anasema huyo Waziri anamtaka sana huyo demu. So kawaaambia waende wakaeleze changamoto zao. So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.

Huyu jamaa ni kilaza, nilim-block jana hiyo hiyo abaki kuwa kuwadi, mi sitaki ukaribu na watu wasiojielewa. Mwanaume huwezi kuwa na App. ya Mange Kimambi. Huwezi kuwa mwanaume ukawa na hiyo App.

Nimepasua jipu.
😂 😂 😂 😂 😂 nimecheka kwa sauti ofisini ,mbavu zangu.
 
Najaribu kufikiri ni kazi gani itakupa nafasi ya kushinda na mawaziri ukifanya nao vikao na kusafiri nao.

1. Uraisi/Makamo.
2. Ukatibu mkuu
3. Uwaziri mkuu
4................
Udereva kama una muendesha Waziri au katibu wa wizara sasa kuktana na mawaziri wenzake ni kawaida mnapoonda dodoma kweny vikao, bunge na safari za ziara nk
 
Mimi nikiwa na mazungumzo na mtu halafu reference yake ikawa mange huwa siongei tena...

Nabaki kumsikiliza tu.
 
Udereva kama una muendesha Waziri au katibu wa wizara sasa kuktana na mawaziri wenzake ni kawaida mnapoonda dodoma kweny vikao, bunge na safari za ziara nk
Dereva haingii kwenye vikao achilia mbali kusafiri nje ya nchi.
 
Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake.

Heeeee! Nimeangalia ana app ya Mange Kimambi, nikamtoa akili kabisa! Kumbe jamaa hayupo serious na maisha kabisa ndio maana nilikuwa namwona tu kama sometimes hajielewi elewi anaongea sana.

Jamaa anajua taarifa za mastaa wa bongo na michepuko yao kuliko kuelewa mambo ya msingi katika maisha ambayo yatakuwa na mchango chanya kwake. Nilimuuliza maswali kadhaa tu kupima uelewa wake, nikaona ana eleaelea sana.

Ile tukiwa pamoja akaingia insta, kisha akaanza kuniambia kwa sasa msanii fulani anatoka na sijui nani na hapo akawa amepokea simu nyingine ananiambia amepigiwa simu na msanii mmoja wanataka waende Dodoma wakaonane na Waziri flani.

Huyo msanii ni mwanamke ni kama anampeleka kumkuwadia. Maana anasema huyo Waziri anamtaka sana huyo demu. So kawaaambia waende wakaeleze changamoto zao. So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.

Huyu jamaa ni kilaza, nilim-block jana hiyo hiyo abaki kuwa kuwadi, mi sitaki ukaribu na watu wasiojielewa. Mwanaume huwezi kuwa na App. ya Mange Kimambi. Huwezi kuwa mwanaume ukawa na hiyo App.

Nimepasua jipu.
Wote akili zenu zinafanana
 
Kitendo Cha wewe kuandamana na mtu humjui Ni risk.na Ni ujinga sna

Jamaa angekuwekea sumu kwenye kinywaji na kwa jinsi unavyo tukana watu hmu IPO siku utajah kwa mbaya wako
 
Najaribu kufikiri ni kazi gani itakupa nafasi ya kushinda na mawaziri ukifanya nao vikao na kusafiri nao.

1. Uraisi/Makamo.
2. Ukatibu mkuu
3. Uwaziri mkuu
4................
Huyu Hana Kaz bhna anashinda Huku kutuka na kupinga nyuz za watu

Jmaa huyu amepanga kimara baruti namnjuwa vzr
 
Najaribu kufikiri ni kazi gani itakupa nafasi ya kushinda na mawaziri ukifanya nao vikao na kusafiri nao.

1. Uraisi/Makamo.
2. Ukatibu mkuu
3. Uwaziri mkuu
4................
dereva umemsahau
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom