Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 😂 nimecheka kwa sauti ofisini ,mbavu zangu.Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake.
Heeeee! Nimeangalia ana app ya Mange Kimambi, nikamtoa akili kabisa! Kumbe jamaa hayupo serious na maisha kabisa ndio maana nilikuwa namwona tu kama sometimes hajielewi elewi anaongea sana.
Jamaa anajua taarifa za mastaa wa bongo na michepuko yao kuliko kuelewa mambo ya msingi katika maisha ambayo yatakuwa na mchango chanya kwake. Nilimuuliza maswali kadhaa tu kupima uelewa wake, nikaona ana eleaelea sana.
Ile tukiwa pamoja akaingia insta, kisha akaanza kuniambia kwa sasa msanii fulani anatoka na sijui nani na hapo akawa amepokea simu nyingine ananiambia amepigiwa simu na msanii mmoja wanataka waende Dodoma wakaonane na Waziri flani.
Huyo msanii ni mwanamke ni kama anampeleka kumkuwadia. Maana anasema huyo Waziri anamtaka sana huyo demu. So kawaaambia waende wakaeleze changamoto zao. So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.
Huyu jamaa ni kilaza, nilim-block jana hiyo hiyo abaki kuwa kuwadi, mi sitaki ukaribu na watu wasiojielewa. Mwanaume huwezi kuwa na App. ya Mange Kimambi. Huwezi kuwa mwanaume ukawa na hiyo App.
Nimepasua jipu.
Kama mtoa mada
Udereva kama una muendesha Waziri au katibu wa wizara sasa kuktana na mawaziri wenzake ni kawaida mnapoonda dodoma kweny vikao, bunge na safari za ziara nkNajaribu kufikiri ni kazi gani itakupa nafasi ya kushinda na mawaziri ukifanya nao vikao na kusafiri nao.
1. Uraisi/Makamo.
2. Ukatibu mkuu
3. Uwaziri mkuu
4................
Nawewe umeamini hii chai?I really dont understand kabisa,inakuaje una chat na mtu JF halafu unakutana nae in real life?
Like how?
Hiyo kitu haiwezekani asilani,ni ukichaa to begin with!
Hua vitu vya kutoka upande mmoja wa mtu siviaminigiNawewe umeamini hii chai?
Dereva haingii kwenye vikao achilia mbali kusafiri nje ya nchi.Udereva kama una muendesha Waziri au katibu wa wizara sasa kuktana na mawaziri wenzake ni kawaida mnapoonda dodoma kweny vikao, bunge na safari za ziara nk
Wote akili zenu zinafananaJamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana tumeonana sehemu tukawa tunapata kinywaji na chakula akawa ananionesha kitu fulani kwenye simu yake.
Heeeee! Nimeangalia ana app ya Mange Kimambi, nikamtoa akili kabisa! Kumbe jamaa hayupo serious na maisha kabisa ndio maana nilikuwa namwona tu kama sometimes hajielewi elewi anaongea sana.
Jamaa anajua taarifa za mastaa wa bongo na michepuko yao kuliko kuelewa mambo ya msingi katika maisha ambayo yatakuwa na mchango chanya kwake. Nilimuuliza maswali kadhaa tu kupima uelewa wake, nikaona ana eleaelea sana.
Ile tukiwa pamoja akaingia insta, kisha akaanza kuniambia kwa sasa msanii fulani anatoka na sijui nani na hapo akawa amepokea simu nyingine ananiambia amepigiwa simu na msanii mmoja wanataka waende Dodoma wakaonane na Waziri flani.
Huyo msanii ni mwanamke ni kama anampeleka kumkuwadia. Maana anasema huyo Waziri anamtaka sana huyo demu. So kawaaambia waende wakaeleze changamoto zao. So hapa akawa anataka kunionesha ana ukaribu sana na Mawaziri! Hajui mimi nashinda nao na kufanya nao vikao vingi tu vya kiserikali tukisafiri huku na kule ndani na nje ya nchi.
Huyu jamaa ni kilaza, nilim-block jana hiyo hiyo abaki kuwa kuwadi, mi sitaki ukaribu na watu wasiojielewa. Mwanaume huwezi kuwa na App. ya Mange Kimambi. Huwezi kuwa mwanaume ukawa na hiyo App.
Nimepasua jipu.
Huyu Hana Kaz bhna anashinda Huku kutuka na kupinga nyuz za watuNajaribu kufikiri ni kazi gani itakupa nafasi ya kushinda na mawaziri ukifanya nao vikao na kusafiri nao.
1. Uraisi/Makamo.
2. Ukatibu mkuu
3. Uwaziri mkuu
4................
Chai hiiNdio maana nikasema kama hii chai haina tangawizi, sijui
Under 30 tumewakosea nini jamani!?sio mwanaume tu...hata mwanamke matured kua na app ile ni.jau...au basi...nahis inawafaa under 30.....au basi
Halafu humu kila mtu anaikanaIle App wanaume idadi yenu kubwa mnaomiliki kuliko ke
dereva umemsahauNajaribu kufikiri ni kazi gani itakupa nafasi ya kushinda na mawaziri ukifanya nao vikao na kusafiri nao.
1. Uraisi/Makamo.
2. Ukatibu mkuu
3. Uwaziri mkuu
4................
Km ilivyo jf kitaani kila mtu haijui app yao.!! Tunaijua page yao ya insta, fb na XHalafu humu kila mtu anaikana
Dereva anafanya vikao vya kiserikali? Basi aongezwe hapo namba 4dereva umemsahau