Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Bora nichore kwa maamuzi yangu.
Kuna imani kwamba ukichora kwa ajili ya mapenzi lazima muachane.
Siwezi kuchora tattoo kwa na kumchorea mtu ndio kabisaaa.
Nawaambiaga rafiki zangu nikifika miaka 40 nitachora tattoo ya majina ya watoto wabgu.
Sikushauri kufanya hivo unavyoplan. Maneno yangu sio SHERIA
 
Itakusumbuaje sasa!ndo maana ukaandika jf kupata soko.
Lakini wewe sio mlengwa wa hilo soko chill.
Sio kila bidhaa mlengwa ni anaeiona wengine wanaiona bahati mbaya.
Kwahiyo wewe haukua target ya soko langu jitulize
 
Ahhahahhaha

Kila mtu mtkatifu shenzyyyy
Ukiwajua hawakusumbui lakini.
Si unaona huyo anasema natafuta soko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa kuweka uzi kama ndo kutafuta soko basi acha nilipate ila yeye sio mlengwa ajikaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…