Nilikuwa nakata bia na majamaa, mmoja akaleta za kitoto nikamchapa

Nilikuwa nakata bia na majamaa, mmoja akaleta za kitoto nikamchapa

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Wakati mwingine najiona Nina matatizo. Siku Moja ikiwa na jamaa zangu tukila yombe, mlevi mwenza akajifanya hamnazo. Nina tabia ya kutopenda upuuzi niwe nimelewa au kavukavu naweza chapa MTU.

Wkati flan nilimuomba jiran kwenye daladala anipishe akakataa, nikamkamata shingo na kumtupia Siri ya nyuma.

Nilijilaumu baadae. Actually ni tabia yangu na sipendi.

Wiki yajana nilifanikiwa Kuonana jamaa niliyemchapa Moja ya USO. Nilimuomba radhi akataka nimnunulie bia anisamehe nikataka kumchapa Tena. Hivi Mimi Nina matatizo Gani?
 
Ipo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi

Halafu unajitapa umepiga mtu

Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,

Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
 
Ipo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi

Halafu unajitapa umepiga mtu

Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,

Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
😆😆Akifika niite nije kurekodi tukio ili wanajf waone nani mbabe zaidi kati yenu
 
Huwa sichokozi mtu ila kila aliyenichokoza aliishia kujuta
 
Ipo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi

Halafu unajitapa umepiga mtu

Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,

Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
mimi nipo shule hapa
akifika nistue
nije kuwa refa na nilete mrejesho wa pambano live
 
Kawaida sana na ndivyo inavyotakiwa kuwa, na hata siku ukitandikwa za uso mpaka ukashindwa kutembea ni kawaida vilevile.
Binafsi napenda sana ngumi ila mpaka mtu anichokoze na napigana sio kwa ajili ya kushinda ila kwa ajili ya kulinda heshima tu hivyo hata siku niking'olewa meno fresh tu japo hakuna mtu mwenye ubavu wa kunipiga.

Faida ni hakutakuwa na wa kukuchokoza sababu wanajua ukimgusa tu basi utapoteza pua.
 
😆😆Akifika niite nije kurekodi tukio ili wanajf waone nani mbabe zaidi kati yenu
Na uje urekodi, ajione kesho maana nshamtamani mmamaaae zake. Ogopa Sana Kwa sabb situmii kama unavofikiri. Utashangaa utumbo ninao nasepa nao
 
Una falsafa nzr naipenda. Nacheza dojo na Nina blue belt Huwa sipendi ugonv. Shida ukiingia anga zangu nahisi nitaua. Nahofia Sana Hali hii.. wanaojitapa kujua ngumu.. wanahasara ..Mimi situmii ngumi, ni mwendo wa silaha tuuu. Utumbo mwembamba nasikia ni mrefu Sana nitaondoka nao mzee. Inshort nimeomba ushaur sipendi ugonv na najizibia Sana. Ukionaninekutoa korodan Moja utakuwa na Bahati sana. Kiufup mm ni mshar Sana na huwez kunijua. Hutajua nitakuoetua Muda gani
Kawaida sana na ndivyo inavyotakiwa kuwa, na hata siku ukitandikwa za uso mpaka ukashindwa kutembea ni kawaida vilevile.
Binafsi napenda sana ngumi ila mpaka mtu anichokoze na napigana sio kwa ajili ya kushinda ila kwa ajili ya kulinda heshima tu hivyo hata siku niking'olewa meno fresh tu japo hakuna mtu mwenye ubavu wa kunipiga.

Faida ni hakutakuwa na wa kukuchokoza sababu wanajua ukimgusa tu basi utapoteza pu
 
Kwenye uz wangu nilisema nahisi Nina matatizo lkn nikasema pia, Niko makin Sana kabla sijaamua kufight. Najua maeneo mengi ya kummaliza MTU.

Kwa uchache.
1.Kweny medula.
2.Kwenye kifua kushoto.
3.Shingoni Kupiga mkono kisu style au Kwa kutoboa.

4.Mapuumbuni.
5.Machoni
6. Nyuma ya magoti yote.
7.masikioni cm Moja kutoka masikioni
 
Back
Top Bottom