Nilikuwa nakata bia na majamaa, mmoja akaleta za kitoto nikamchapa

Nilikuwa nakata bia na majamaa, mmoja akaleta za kitoto nikamchapa

Ipo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi

Halafu unajitapa umepiga mtu

Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,

Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
Yale yale tu....we nae..
 
Kwakweli mimi huwa sipendi kuona mtu anaonewa, huwa nabebaga kesi za watu,Sababu nilikuwa sina kaka utotoni wa kunitetea, nikajenga akili ya kuwa wadogo zangu hawatapitia hili tatizo, na hapo sihitaji sijui karate wala dojo, nitumie ngumi niumuze mikono yangu ya nini , mimi chochote ni silaha...halafu nione unabinukabinuka vimateke vya muvi, nakusawazisha kinoma noma..
 
"No matter how good you think you are, there is always someone better than you"
 
Hapa ndo wanajulikana wanaume wenye stress kama zote
 
Back
Top Bottom