Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
😂😂😂 Mwenye masikio na asikie!Umasikini wa kukosa hela una hasira na watu
Tafuta kijana nguo hazianikwi Juani wala Cruser siyo gari ya serikali.
😆😆Akifika niite nije kurekodi tukio ili wanajf waone nani mbabe zaidi kati yenuIpo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi
Halafu unajitapa umepiga mtu
Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,
Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
Nitakuita tatizo sioni PM aliyotuma[emoji38][emoji38]Akifika niite nije kurekodi tukio ili wanajf waone nani mbabe zaidi kati yenu
mimi nipo shule hapaIpo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi
Halafu unajitapa umepiga mtu
Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,
Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
Na uje urekodi, ajione kesho maana nshamtamani mmamaaae zake. Ogopa Sana Kwa sabb situmii kama unavofikiri. Utashangaa utumbo ninao nasepa nao😆😆Akifika niite nije kurekodi tukio ili wanajf waone nani mbabe zaidi kati yenu
Kawaida sana na ndivyo inavyotakiwa kuwa, na hata siku ukitandikwa za uso mpaka ukashindwa kutembea ni kawaida vilevile.
Binafsi napenda sana ngumi ila mpaka mtu anichokoze na napigana sio kwa ajili ya kushinda ila kwa ajili ya kulinda heshima tu hivyo hata siku niking'olewa meno fresh tu japo hakuna mtu mwenye ubavu wa kunipiga.
Faida ni hakutakuwa na wa kukuchokoza sababu wanajua ukimgusa tu basi utapoteza pu
Amua kabisa maamuzi maana hatanijua, atashangaa tu.. na nshamjua huyu.mimi nipo shule hapa
akifika nistue
nije kuwa refa na nilete mrejesho wa pambano live
Hujakutana na wanaume.
Huwa sichokozi mtu ila kila aliyenichokoza aliishia kujuta