Yale yale tu....we nae..Ipo siku utayakanyaga,hao unaowachapa ni wanaume wavaa vikaptula visendo vya kike na soksi
Halafu unajitapa umepiga mtu
Yaani hapa nilipo ninavyokutamani,
Njoo huku mbezi tangi bovu,ukifika ni PM nakuelekeza nilipo.na Leo sinywi konyagi mwendo wa bia tu
Umeona ee, wagomvi utawajua tu. Na huyu ni kumdharau tuYale yale tu....we nae..