Nilikuwa naliona jambo la ajabu ila Sasa hivi naona kawaida

Nilikuwa naliona jambo la ajabu ila Sasa hivi naona kawaida

eldamaty_persier

Senior Member
Joined
Mar 18, 2024
Posts
118
Reaction score
285
Habari wanaJF,

Natumaini wote humu mko poa.Leo nataka kusikia maoni yenu kuhusu hili;ni jambo gani ulilokuwa unaona la ajabu au sio la kawaida na huwezi kulifanya hapo awali ila Sasa unaona ni kawaida au hata wewe mwenyewe unalifanya.

Kwa upande wangu nilikuwa nikisikia mtu ana degree au kasoma Hadi chuo kikuu na Hana ajira nilikuwa naona ajabu ila sasa naona kawaida.

Nilikuwa nikiambiwa kitu fulani Cha kawaida Kuna bei ya juu naona ajabu na siwezi kununua kwa mfano lotion kuuzwa 40k au sahani moja ya chakula kuuzwa 32k siwezi kununua ila sasa hivi nachukulia kawaida.Vipi kuhusu maoni yako mwanaJF?
 
Habari wanaJF,

Natumaini wote humu mko poa.Leo nataka kusikia maoni yenu kuhusu hili;ni jambo gani ulilokuwa unaona la ajabu au sio la kawaida na huwezi kulifanya hapo awali ila Sasa unaona ni kawaida au hata wewe mwenyewe unalifanya.

Kwa upande wangu nilikuwa nikisikia mtu ana degree au kasoma Hadi chuo kikuu na Hana ajira nilikuwa naona ajabu ila sasa naona kawaida.

Nilikuwa nikiambiwa kitu fulani Cha kawaida Kuna bei ya juu naona ajabu na siwezi kununua kwa mfano lotion kuuzwa 40k au sahani moja ya chakula kuuzwa 32k siwezi kununua ila sasa hivi nachukulia kawaida.Vipi kuhusu maoni yako mwanaJF?
Kutomber
 
Kutembea na wanaojiita walokole. Nilikua najua hawa wanawake wakilokole kuwapata ni kitu kisichowezekana, lakini saiv naona wanaliwa kirahisi kuliko hata wasio okoka. Afu very cheap hawa watu.
 
Back
Top Bottom