Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Wakati nipo form 6, niliambiwa mtu mwenye PhD haruhusiwi kupanda dala dala, ni marufuku na ni aibu,...
Daah kumbe daladala zinapandwa tuu...inategemea na nyakati😂
Kuna mbwa Koko, German shepherd, puppy etc. Mtafutie category yake🤌😂😂Wadada walikuwa wakisema wanaume wote mbwa, nilikuwa nawaambia wangu mumtoe…!!! Lakini ss hivi naona sawa, sio mbwa tyuu huyu ni zaidi ya mbwa tena wamjumlishe na wale wengine na wampe uwenyekiti ana-deserve kabisaa 😂😂😂😂 jokes bana
Huyo wa kwanza 😂😂😂Kuna mbwa Koko, German shepherd, puppy etc. Mtafutie category yake🤌😂😂
Nipoo na nimejaa telee.
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Nilipokuwa mdogo nikisikia neno bhangi nilikuwa naogopa mwili una sisimka ila sasa hivi naona kawaida japo situmii [emoji1]
Saiv aje, em malizia.Pia Kulewa au kua mnywaji.. Dah nilikua naona walevi wamepotea sana.. sahiv dah..
Unavuta acha kutudanganya wakubwa zako nyoko weee.Nilipokuwa mdogo nikisikia neno bhangi nilikuwa naogopa mwili una sisimka ila sasa hivi naona kawaida japo situmii [emoji1]