Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlevi mbwaPia Kulewa au kua mnywaji.. Dah nilikua naona walevi wamepotea sana.. sahiv dah..
Chart❌ ni kama pie chart au graphhaya tusichart kweny uzi wa watu,, twende kule nikakuonesh picha mpya ya mkesha wa pasaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Chart[emoji777] ni kama pie chart au graph
Chat[emoji736]
Ni mboga za majani tu km nyingine 🤌🥱Nilipokuwa mdogo nikisia neno bhangi nilikuwa naogopa mwili una sisimka ila sasa hivi naona kawaida japo situmii 😄
Kwa mtumiaji hapo sijajua 😄Ni mboga za majani tu km nyingine 🤌🥱
Ukaja kuona kumbe kawaida 😄Kuwa mbulula wa darasa
Yakanikuta aisee
😂😂😂Mi kusikia mtu ana madeni.. Nilikua nashangaa.
[emoji855][emoji855]mkuuNilipokuwa mdogo nikisia neno bhangi nilikuwa naogopa mwili una sisimka ila sasa hivi naona kawaida japo situmii [emoji1]
Warrrraaaaaap
Utafutaji ni mgumuNilikuwa naona msosi ukitupwa kawaida tu.Kwa sasa sitaki kabisa kuona msosi unachezewa.Shughuli ya kuweka msosi mezani siku 365 si ya kitoto.
Nafikiri msemaji wa KATAA NDOA amesikia🤌😂😂Nikiona mwanaume mkubwa tu hajaoa nilikuwa naona ajabu ila saizi naona kawaida na ninawapongeza kwa maamuzi yao sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanne tu wananitoa mvi.Utafutaji ni mgumu