Nilikuwa natembea na mke wa mtu, nilinusurika kufumaniwa nikaamua kumuacha na kutubu ila nafsi yangu haina amani

Poor, Poor , Poor, Poor, Pua, pua, Puwa , Puwa kabisaaa

Huu uzi bila picha tatu, yako ya Rafiki yako na Ya Nzigo (sijui ndio mzigo unajua mwenyewe) ni batili
Hausadiki?Kuwa muaminifu katika kila jambo.Na inshallah,utapata barka!
 
Usiache hela,baadae utasahau na utaish poa tu

Kuna demu aliwah toa mimba,alipata shda sana kusahau tukio hilo,kila alkuwa akikumbuka taswira ya kila kichanga moyo unamuuma sana,ila mwsho wa sku ameshasahau na ana amani ya kutosha
 
Usiache hela,baadae utasahau na utaish poa tu

Kuna demu aliwah toa mimba,alipata shda sana kusahau tukio hilo,kila alkuwa akikumbuka taswira ya kila kichanga moyo unamuuma sana,ila mwsho wa sku ameshasahau na ana amani ya kutosha
Amiiiin,Kuna demu mwingine yalimtokea hayohayo akiwa chuo,ikabidi akaonane na kiongozi wake wa dini kwa ajili ya toba.
 
Mimi sikufumaniwa ila nilinusurika,huyo askari alikosea sana kumpa kichapo jamaa alitakiwa ampe kichapo huyo Malaya wao.
 
Halafu usikute huyo jamaa yupo humu na ndie atakuja kukupa ushauri mzuri..

[emoji23]
Ila umetoa details ambazo anaweza kujua kabisa yani Jana halafu kiasi 55 na ukweni mlienda wote code rahisi hizi!
Kwisha habari yake!!
 
Poor, Poor , Poor, Poor, Pua, pua, Puwa , Puwa kabisaaa

Huu uzi bila picha tatu, yako ya Rafiki yako na Ya Nzigo (sijui ndio mzigo unajua mwenyewe) ni batili
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Ndo maana hua siamini marafiki ona sasa hili dah.
 
Toba ya kweli ni kwenda kutubu kwa huyo rafiki yako na umweleze huo mpango wako wa kumuachia hiyo Tshs 550,000.
Wrong approach. Atatengeneza adui wa kudumu. Na hakuna adui mbaya kama yule ambae ni rafiki yako.. maana anakujua ndani nje.
So best approach ni kuacha anachokifanya, ku cut ties ikiwezekana ahame kabisa.
 
Mbona hujatueleza jinsi ulivyoanza mahusiano nae na jinsi ulivyotaka kufumaniwa
 
Wrong approach. Atatengeneza adui wa kudumu. Na hakuna adui mbaya kama yule ambae ni rafiki yako.. maana anakujua ndani nje.
So best approach ni kuacha anachokifanya, ku cut ties ikiwezekana ahame kabisa.
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…