Nilikuwa natembea na mke wa mtu, nilinusurika kufumaniwa nikaamua kumuacha na kutubu ila nafsi yangu haina amani

Nilikuwa natembea na mke wa mtu, nilinusurika kufumaniwa nikaamua kumuacha na kutubu ila nafsi yangu haina amani

Poor, Poor , Poor, Poor, Pua, pua, Puwa , Puwa kabisaaa

Huu uzi bila picha tatu, yako ya Rafiki yako na Ya Nzigo (sijui ndio mzigo unajua mwenyewe) ni batili
Hausadiki?Kuwa muaminifu katika kila jambo.Na inshallah,utapata barka!
 
Usiache hela,baadae utasahau na utaish poa tu

Kuna demu aliwah toa mimba,alipata shda sana kusahau tukio hilo,kila alkuwa akikumbuka taswira ya kila kichanga moyo unamuuma sana,ila mwsho wa sku ameshasahau na ana amani ya kutosha
 
Usiache hela,baadae utasahau na utaish poa tu

Kuna demu aliwah toa mimba,alipata shda sana kusahau tukio hilo,kila alkuwa akikumbuka taswira ya kila kichanga moyo unamuuma sana,ila mwsho wa sku ameshasahau na ana amani ya kutosha
Amiiiin,Kuna demu mwingine yalimtokea hayohayo akiwa chuo,ikabidi akaonane na kiongozi wake wa dini kwa ajili ya toba.
 
Hahahaa yaani huu uzi umenikumbusha eti Kuna mtu alikua na mchepuko Sasa mchepuko ukamuambia una mimba huyo jamaa kahudumia mpaka kajifungua, Sasa Kama siku kadhaa zimepita kaenda kumuona mwanae anafika ndani anakutana na njemba nyingine askari imejaa tele Kama pishi la ubwabwa anaulizwa vipi,eti nimekuja kumuona mwanangu, mwanao yupi ?? Mdada anaulizwa anasema ye hamjui kadi ya clinic imeandikwa jina la yule askari akachezea kichapo halafu kalazwa ndani karudi kwa mke wake asubuhi sura haitamaniki, Sasa mke wake anatusimulia anacheka maana hakulala nyumbani alivyomuuliza kamjibu shombo,Ila baada ya kurudi na manundu anaeleza bila hata kuulizwa yupo tu ndani anakandwa na mke wake akiambiwa kwenda hospital eti anaona aibu Sasa nilivyosoma tu Neno kufumaniwa nimekumbuka[emoji1][emoji1] Bora wewe haukupigwa
Mimi sikufumaniwa ila nilinusurika,huyo askari alikosea sana kumpa kichapo jamaa alitakiwa ampe kichapo huyo Malaya wao.
 
Halafu usikute huyo jamaa yupo humu na ndie atakuja kukupa ushauri mzuri..

[emoji23]
Ila umetoa details ambazo anaweza kujua kabisa yani Jana halafu kiasi 55 na ukweni mlienda wote code rahisi hizi!
Kwisha habari yake!!
 
Ndo maana hua siamini marafiki ona sasa hili dah.
 
Toba ya kweli ni kwenda kutubu kwa huyo rafiki yako na umweleze huo mpango wako wa kumuachia hiyo Tshs 550,000.
Wrong approach. Atatengeneza adui wa kudumu. Na hakuna adui mbaya kama yule ambae ni rafiki yako.. maana anakujua ndani nje.
So best approach ni kuacha anachokifanya, ku cut ties ikiwezekana ahame kabisa.
 
Mbona hujatueleza jinsi ulivyoanza mahusiano nae na jinsi ulivyotaka kufumaniwa
 
Wrong approach. Atatengeneza adui wa kudumu. Na hakuna adui mbaya kama yule ambae ni rafiki yako.. maana anakujua ndani nje.
So best approach ni kuacha anachokifanya, ku cut ties ikiwezekana ahame kabisa.
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]
 
Back
Top Bottom