Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Europa ndio nini? Timu kibao zinapanga kikosi cha pili huko.Hana ila ana Europa tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Europa ndio nini? Timu kibao zinapanga kikosi cha pili huko.Hana ila ana Europa tatu
Unai kocha wa ovyo kuwahi kutokea ulimwenguniSasa Tuchel na Conte wamemzidi nini Unai
Conte alipanga cha ngapi?europa ndo nini? timu kibao zinapanga kikosi cha pili huko,
Hata mashabiki wa United wanasema Van Gaal ni kocha wa ovyoUnai kocha wa ovyo kuwahi kutokea ulimwenguni
SikweliHata mashabiki wa United wanasema Van Gaal no kocha wa ovyo
Conte ana makombe mengi, serie A manne, Epl 1Conte alipanga cha ngapi?
Naona unatutafuta wana-Arsenal [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Tuchel na Conte wamemzidi nini Unai
Hahaaa...... Soka linabadilika sn..Buyern ilikuwa sio ya kudhalilisha home and away na Madrid Wala Barca kwa ubora iliokuwa nao
Hahaaa.... Sawa mkuu ndio maana nimesema I stand to be corrected lkn kawaida investment ku payoff inachukua muda..... Bado naona mkono wa Pep ni mkubwa sn ktk kubadilisha falsafa ya soka la Bayern...... Km unakumbuka soka la Bayern Hakukua la ticktaka km tunavoona leo..... Tulizoea soka la fujo mabuti lkn kwa sasa imetawala kampa kampa tenaHii Buyern inateleza, si kwa sababu ya pep , Tokea Pep aondoke umeona Buyern imebadili makocha Mara ngapi. Na imemrudisha Yule Babu Mara ngapi. Acha mapenzi kwa Pep. Be fair utajua Mpira.
Buyern inachukua Uefa 2013 ilikuwa ni yamoto, lakini Pep aliipoza na kuiharibu kabisa mpaka anaondoka timu ikakosa mwelekeo kabisa.
Buyern inaperform sasa kwa sababu kocha wa sasa ni miongoni mwa makocha bora.
hadi baba ako anamzidiPepsi ni kocha wa kawaidaaaa mnoooooo
Hapo kwa DM , ndo nimeona huyu jamaa n empty , tena fainali kabsa.Pepsi anaendelee kudhihorisha ukanjanja wake
Alie elewa nini kikimfanya aende fainali bila striker na Dm ni nini aje aniambie
Hamna kocha humoHapo kwa DM , ndo nimeona huyu jamaa n empty , tena fainali kabsa.
Mourinho hamna?Hata Mimi Nakubali Pep ni top Coach ila huwa Napinga sio Legendary/Goat kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.
Kwa miaka kadhaa hii kujibu swali lako hawa wananijia Akilini.
-Zidane
-Tuchel
-Conte
-Klopp
-Simeone
-Pep etc
Top 5 yangu Pep pengine yupo, Ila Top 3 Ni Klopp, Conte na Zidane kwa Muono Wangu.